Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Kutokana na usanii mwingi uliojaa na cost za kujenga zilivyokubwa nchi hii, nauliza
what are the chances za biashara au kujenga mwenyewe ya pre-fab houses ?
Say unajenga nyumba nzima nje ya nchi kwenye viwanda vya kufanya hivyo kisha wanaleta Tanzania kwa ajili ya assembling ambayo give or take inaweza ikachukua 4 weeks max
je mnaonaje idea hiyo au mazingira hayaruhusu? na kama haya ruhusu je kuna mambo gani ya kuzingatia mfano:
Sheria zinasemaje?
Je nyumba hizi zinaweza kulast up to 80 yrs max au?
costs zinasemaje?
etc
anyone?
Naomba utupatie link ya hiyo kampuni Mkuu.ninajua factory moja ipo shanghai china prefab house simple design complete with UPVC windows and doors US$ 65.0 per square meter and a normal design from Turkey US$ 800 per square meter
Naomba utupatie link ya hiyo kampuni Mkuu.
Mkuu Hiyo hapo juu kuna jamaa mmoja amejenga Kinshasa na kaniambia imeoka Germany yaani kila kitu ndani nilimuuliza bei lakini hakuwa tayari kuniambia.
Lakini inafanana na picha hapo juu...Tatizo la Afrika wau wanaogopa mchwa lakini nadhani mbao ni treated.
ninajua factory moja ipo shanghai china prefab house simple design complete with UPVC windows and doors US$ 65.0 per square meter and a normal design from Turkey US$ 800 per square meter
Ndio Mkuu.. hiyo ya $65 per square meter inafaa kwa hapa TZ!...
this is a good technology na nadhani inawezekana... tatizo ni namna ya kuanza na preservation ya hizo nyumba kutokana na mazingira ya kwetu
Actually kimtindo ni kama tunajenga hivyo tu, maana unakuta mtu anaenda turkey au china analeta kuanzia sementi, misumari, roof hadi vitasa
Hizi zinafaa sana ila hakikisha materials ziko treated well ili mchwa wasizile
Kwa wale walio hudhuria Maonyesho ya Kilimo 88 pale Dodoma, kuna kampuni moja ya prefab houses imeishaingia nchini, ofisi zake ziko pale Milenium Bussiness Park. Wamejenga nyumba za mfano pale Nzuguni.
Kwa dar es Salaam, pale eneo la Makumbusho kuna duka la Prefab houses na sample zake pale nje ya ofisi hizo.
Tatizo: Nlipofuatilia cost ya kujenga hizi prefab za Milenium Business Park, cost ya kujenga a small house ya 3 bedroom, one master, jiko, sitting na dinning, ilifika M.78. Kwa M.30, unajenga nyumba nzuri tuu matofali ya playform ukujenga mwenyewe, ukiwacontract NHMBRA (Mwenge) itakicost m.40 tuu.