Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Kutokana na usanii mwingi uliojaa na cost za kujenga zilivyokubwa nchi hii, nauliza
what are the chances za biashara au kujenga mwenyewe ya pre-fab houses ?
Say unajenga nyumba nzima nje ya nchi kwenye viwanda vya kufanya hivyo kisha wanaleta Tanzania kwa ajili ya assembling ambayo give or take inaweza ikachukua 4 weeks max
je mnaonaje idea hiyo au mazingira hayaruhusu? na kama haya ruhusu je kuna mambo gani ya kuzingatia mfano:
Sheria zinasemaje?
Je nyumba hizi zinaweza kulast up to 80 yrs max au?
costs zinasemaje?
etc
anyone?
