Nyumba za Waathirika wa Maporomoko ya Hanang zakabidhiwa

Nyumba za Waathirika wa Maporomoko ya Hanang zakabidhiwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Japo tuliwahi kuweka hapa picha za nyumba hizo, baadaye uzI ule ukanyongelewa mbali na vigogo wa JF , hata hivyo hakuna tofauti yeyote kati ya hizi za leo na zile tulizowasilisha awali.

Tunawakumbusha tu wakubwa wa jf kwamba Nyumba nyingi kama hizi za umma huwa hazijengwi kwa kificho, sasa kile tulicholeta na hiki kuna tofauti ipi?

Hebu angalieni

Screenshot_2024-08-05-22-39-48-1.png
Screenshot_2024-08-05-22-39-38-1.png


Kuna haja ya JF Kuwaamini Wanachama wake, kwa vile Jamii check ipo tunaamini sasa ndio itakuwa VAR yetu hapa jukwaani.
 
Nyumba nzuri sana tena sana zinapendeza vizuri sana. Zimekamilika kwa wakati mzuri. Cha ajabu CHADEMA imekaa miaka nenda rudi imeshindwa kujenga ofisi kama hizo. ili walau wakikaa ndani wawe wanapata hata hewa safi kuliko kwenye ile ofisi yao iliyochoka vibaya wanayobanana mpaka wanakosa hewa safi.
 
Nyumba nzuri sana tena sana zinapendeza vizuri sana. Zimekamilika kwa wakati mzuri. Cha ajabu CHADEMA imekaa miaka nenda rudi imeshindwa kujenga ofisi kama hizo. ili walau wakikaa ndani wawe wanapata hata hewa safi kuliko kwenye ile ofisi yao iliyochoka vibaya wanayobanana mpaka wanakosa hewa safi.
Aiseeee
 
Japo tuliwahi kuweka hapa picha za nyumba hizo, baadaye uzI ule ukanyongelewa mbali na vigogo wa JF , hata hivyo hakuna tofauti yeyote kati ya hizi za leo na zile tulizowasilisha awali.

Tunawakumbusha tu wakubwa wa jf kwamba Nyumba nyingi kama hizi za umma huwa hazijengwi kwa kificho, sasa kile tulicholeta na hiki kuna tofauti ipi?

Hebu angalieni

View attachment 3062514View attachment 3062515

Kuna haja ya JF Kuwaamini Wanachama wake, kwa vile Jamii check ipo tunaamini sasa ndio itakuwa VAR yetu hapa jukwaani.
Bilionea ajenge shule sasa
 
Japo tuliwahi kuweka hapa picha za nyumba hizo, baadaye uzI ule ukanyongelewa mbali na vigogo wa JF , hata hivyo hakuna tofauti yeyote kati ya hizi za leo na zile tulizowasilisha awali.

Tunawakumbusha tu wakubwa wa jf kwamba Nyumba nyingi kama hizi za umma huwa hazijengwi kwa kificho, sasa kile tulicholeta na hiki kuna tofauti ipi?

Hebu angalieni

View attachment 3062514View attachment 3062515

Kuna haja ya JF Kuwaamini Wanachama wake, kwa vile Jamii check ipo tunaamini sasa ndio itakuwa VAR yetu hapa jukwaani.
Wanatuamini ila tu dah! Uchawa na uramba miguu unawasumbua.
 
Tunawakumbusha tu wakubwa wa jf kwamba Nyumba nyingi kama hizi za umma huwa hazijengwi kwa kificho, sasa kile tulicholeta na hiki kuna tofauti ipi?
Kwanza, kwa taarifa yako ni kwamba wakubwa wa jf ni wachadema, kama hujui.
Pili, kuhusu taatifa yako kunyofolewa, inawezekana inatokana na jinsi ulivyoileta. Sidhani na siamini, kama wewe ulileta hiyo taarifa kama kutoa habari juu ya msaada uliotolewa kwa waathirika wa mafuriko. Itakuwa lazima ulileta hiyo taarifa kwa lengo la kukejeli msaada huo uliotolewa. Tunakujua wewe, hauna lolote jema linalofanywa na mtu mwingine yeyote zaidi ya mbowe!
Wewe kama mfanyabiashara wa kimataifa, na mtu mwenye 'wide worldview', you need to change.
 
Aisee nyumba ni nzuri mno,
Hongera sana mama Samia na wote walioshiriki kufanikisha hili,
Yalishawahi kutokea maafacya tetemeko la ardhi na the rest was history
 
Hongera sana serikali kwa kuwajali wana waathiriks wamafuriko.hilo ni jambo jema sana.keep it up.
 
Japo tuliwahi kuweka hapa picha za nyumba hizo, baadaye uzI ule ukanyongelewa mbali na vigogo wa JF , hata hivyo hakuna tofauti yeyote kati ya hizi za leo na zile tulizowasilisha awali.

Tunawakumbusha tu wakubwa wa jf kwamba Nyumba nyingi kama hizi za umma huwa hazijengwi kwa kificho, sasa kile tulicholeta na hiki kuna tofauti ipi?

Hebu angalieni

View attachment 3062514View attachment 3062515

Kuna haja ya JF Kuwaamini Wanachama wake, kwa vile Jamii check ipo tunaamini sasa ndio itakuwa VAR yetu hapa jukwaani.
Nyumba safi na kilichosalia ni wao kurejesha shukrani zao Kwa Rais Samia 2025.
 
Hizo nyumba wanaishi familia ngapi. Mbona ni nyumba ndogo ndogo sana.
 
Kwanza, kwa taarifa yako ni kwamba wakubwa wa jf ni wachadema, kama hujui.
Pili, kuhusu taatifa yako kunyofolewa, inawezekana inatokana na jinsi ulivyoileta. Sidhani na siamini, kama wewe ulileta hiyo taarifa kama kutoa habari juu ya msaada uliotolewa kwa waathirika wa maguriko. Itakuwa lazima ulileta hiyo taarifa kwa lengo la kukejeli msaada huo uliotolewa. Tunakujua wewe, hauna lolote jema linalofanywa na mtu mwingine yeyote zaidi ya mbowe!
Wewe kama mfanyabiashara wa kimataifa, na mtu mwenye 'wide worldview', you need to change.
Kwa mfano kwenye uzi huu nimekejeli nini?
 
Back
Top Bottom