Nyumba za Waathirika wa Maporomoko ya Hanang zakabidhiwa

Nyumba za Waathirika wa Maporomoko ya Hanang zakabidhiwa

Japo tuliwahi kuweka hapa picha za nyumba hizo, baadaye uzI ule ukanyongelewa mbali na vigogo wa JF , hata hivyo hakuna tofauti yeyote kati ya hizi za leo na zile tulizowasilisha awali.

Tunawakumbusha tu wakubwa wa jf kwamba Nyumba nyingi kama hizi za umma huwa hazijengwi kwa kificho, sasa kile tulicholeta na hiki kuna tofauti ipi?

Hebu angalieni

View attachment 3062514View attachment 3062515

Kuna haja ya JF Kuwaamini Wanachama wake, kwa vile Jamii check ipo tunaamini sasa ndio itakuwa VAR yetu hapa jukwaani.
Kuna uzi ulipandisha hapa ukiwa na picha za ajabu nyumba za udongo ukasema ni za wathirika unajivua nguo sana!
 
Kwamba huyo Samia kachukua hela zake kizimkazi ndio kawajengea nyumba siyo?
Hajatumia pesa za serikali,alishasema Nchi marafiki wamempa pesa hususani za kiarabu na account ya michango ilifunguliwa.

Waathirika Wana wajibu wa kulipa fadhila 2025
 
Hajatumia pesa za serikali,alishasema Nchi marafiki wamempa pesa hususani za kiarabu na account ya michango ilifunguliwa.

Waathirika Wana wajibu wa kulipa fadhila 2025
Kwamba hizo hela alipewa yeye binafsi?
 
Sisi hatuna shida na nyumba, shida yetu ni kupingwa kwa Taarifa zetu za kweli
Kuna kitu nime-notice.....mkuu umeishiwa maneno. Bila shaka utakuwa Moja ya watu waliofaidika kwa namna fulani na Mama Samia.

Hongera mkuu kwa kusema ukweli hasa kwa hili zuri. Naamini changamoto zipo usichoke endelea kuibua na kuzisema. Ukiondoa uchawa lazima mabaya yaanikwe, hao ndipo tutafanikiwa.

Usichoke mkuu
 
Kuna kitu nime-notice.....mkuu umeishiwa maneno. Bila shaka utakuwa Moja ya watu waliofaidika kwa namna fulani na Mama Samia.

Hongera mkuu kwa kusema ukweli hasa kwa hili zuri. Naamini changamoto zipo usichoke endelea kuibua na kuzisema. Ukiondoa uchawa lazima mabaya yaanikwe, hao ndipo tutafanikiwa.

Usichoke mkuu
Hujui kitu, Shut Up!
 
Japo tuliwahi kuweka hapa picha za nyumba hizo, baadaye uzI ule ukanyongelewa mbali na vigogo wa JF , hata hivyo hakuna tofauti yeyote kati ya hizi za leo na zile tulizowasilisha awali.

Tunawakumbusha tu wakubwa wa jf kwamba Nyumba nyingi kama hizi za umma huwa hazijengwi kwa kificho, sasa kile tulicholeta na hiki kuna tofauti ipi?

Hebu angalieni

View attachment 3062514View attachment 3062515

Kuna haja ya JF Kuwaamini Wanachama wake, kwa vile Jamii check ipo tunaamini sasa ndio itakuwa VAR yetu hapa jukwaani.
Bado wanakabidhi vizimba vya kufugia mbwa!!?
 
Back
Top Bottom