Huo sio wema boss, huo ni wajibu wa serekali. Tenganisha wema na majukumu ya serekali boss.kuna watu kwao akuna jambo jema,kila jambo kwao ni baya.
wakiambiwa na wao waonyesha mema yao hawana, kazi kukosoa tu.
Kuna uzi ulipandisha hapa ukiwa na picha za ajabu nyumba za udongo ukasema ni za wathirika unajivua nguo sana!Japo tuliwahi kuweka hapa picha za nyumba hizo, baadaye uzI ule ukanyongelewa mbali na vigogo wa JF , hata hivyo hakuna tofauti yeyote kati ya hizi za leo na zile tulizowasilisha awali.
Tunawakumbusha tu wakubwa wa jf kwamba Nyumba nyingi kama hizi za umma huwa hazijengwi kwa kificho, sasa kile tulicholeta na hiki kuna tofauti ipi?
Hebu angalieni
View attachment 3062514View attachment 3062515
Kuna haja ya JF Kuwaamini Wanachama wake, kwa vile Jamii check ipo tunaamini sasa ndio itakuwa VAR yetu hapa jukwaani.
Nyumba zenyewe zipo wapi?Kwamba huyo Samia kachukua hela zake kizimkazi ndio kawajengea nyumba siyo?
Hajatumia pesa za serikali,alishasema Nchi marafiki wamempa pesa hususani za kiarabu na account ya michango ilifunguliwa.Kwamba huyo Samia kachukua hela zake kizimkazi ndio kawajengea nyumba siyo?
Kwamba hizo hela alipewa yeye binafsi?Hajatumia pesa za serikali,alishasema Nchi marafiki wamempa pesa hususani za kiarabu na account ya michango ilifunguliwa.
Waathirika Wana wajibu wa kulipa fadhila 2025
Ziweke ili tulinganishe na hiziKuna uzi ulipandisha hapa ukiwa na picha za ajabu nyumba za udongo ukasema ni za wathirika unajivua nguo sana!
Ili iweje!Ziweke ili tulinganishe na hizi
Kwani huu uzi umefutwa?Kwa mfano kwenye uzi huu nimekejeli nini?
Kuna kitu nime-notice.....mkuu umeishiwa maneno. Bila shaka utakuwa Moja ya watu waliofaidika kwa namna fulani na Mama Samia.Sisi hatuna shida na nyumba, shida yetu ni kupingwa kwa Taarifa zetu za kweli
Hujui kitu, Shut Up!Kuna kitu nime-notice.....mkuu umeishiwa maneno. Bila shaka utakuwa Moja ya watu waliofaidika kwa namna fulani na Mama Samia.
Hongera mkuu kwa kusema ukweli hasa kwa hili zuri. Naamini changamoto zipo usichoke endelea kuibua na kuzisema. Ukiondoa uchawa lazima mabaya yaanikwe, hao ndipo tutafanikiwa.
Usichoke mkuu
Bado wanakabidhi vizimba vya kufugia mbwa!!?Japo tuliwahi kuweka hapa picha za nyumba hizo, baadaye uzI ule ukanyongelewa mbali na vigogo wa JF , hata hivyo hakuna tofauti yeyote kati ya hizi za leo na zile tulizowasilisha awali.
Tunawakumbusha tu wakubwa wa jf kwamba Nyumba nyingi kama hizi za umma huwa hazijengwi kwa kificho, sasa kile tulicholeta na hiki kuna tofauti ipi?
Hebu angalieni
View attachment 3062514View attachment 3062515
Kuna haja ya JF Kuwaamini Wanachama wake, kwa vile Jamii check ipo tunaamini sasa ndio itakuwa VAR yetu hapa jukwaani.