Nchi hii kuna wanaokula keki ya Taifa, waliuziwa zile nyumba. Rafiki yangu mume wake alinunua kwa milioni nne tena unalipa taratibu.Nina babu yangu yeye hadi leo anaishi maghorofa ya Railway yupo Kule juuu kabisa
tangu wadogo hadi na leo kashastaafu kabisa ila yupo pale kwenye yale maghorofa
huwa najiuliza huwa wamepewaga buree,au wameuziwagwa, nashndwaga elewa kama
sisi vijukuu vyake tuna maisha yetu tayari,yeye yupogo tu pale huwa hii imekaaje sielewagi...
Zile nyumba za Keko Magurumbasi watumishi waliuziwa kwa elfu 20, unalipa ndani ya miaka 2 .Nchi hii kuna wanaokula keki ya Taifa, waliuziwa zile nyumba. Rafiki yangu mume wake alinunua kwa milioni nne tena unalipa taratibu.
Na maeneo ya Ghana karibu na furahisha MwanzaMabatini polisi Mwanza
kweli kabisaNa maeneo ya Ghana karibu na furahisha Mwanza
Haji Manara anaishi Masaki na Mtoto anamsomesha kwa Cash Chuo Kikuu Uturuki kwa kupiga domoSasa hivi mtumishi wa bandari hasa ya Dar ukinunua Opa unachekwa na watumishi wenzako.
Imagine mlinzi wa bandari anaona aibu kumiliki OPA au VITZ huku Registered Engineer wa SIDO au TEMESA anapanda daladala kwenda kazini.
Tanzania raha sana, huhitaji kusoma sana ili uishi vizuri.
Ni koneksheni tu
UkamuulizeNina babu yangu yeye hadi leo anaishi maghorofa ya Railway yupo Kule juuu kabisa
tangu wadogo hadi na leo kashastaafu kabisa ila yupo pale kwenye yale maghorofa
huwa najiuliza huwa wamepewaga buree,au wameuziwagwa, nashndwaga elewa kama
sisi vijukuu vyake tuna maisha yetu tayari,yeye yupogo tu pale huwa hii imekaaje sielewagi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nchi hii kuna wanaokula keki ya Taifa, waliuziwa zile nyumba. Rafiki yangu mume wake alinunua kwa milioni nne tena unalipa taratibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi machozi khaaaahHaji Manara anaishi Masaki na Mtoto anamsomesha kwa Cash Chuo Kikuu Uturuki kwa kupiga domo
Daktari Bingwa wa mfumo wa fahamu Hospital ya Rufaa Mtwara anahangaika kulipia ada mwanae ya Diploma Mbeya Tech
Umenikumbusha Chumbageni Tanga...