angedizzle
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 590
- 504
Hii sredi itabidi niirudie baadaye maana pic zote zimegoma kuload kasoro ya Platnumz ndo imefunguka sijui kwa kuwa ina KB chache
biashara ya kubeba unga haina meneja ina wafadhili tu!sasa huyo meneja gani alisema hayo?...si kila mwanamuziki mwenye pesa anaipatia kwenye music!wangapi wanajua kama ney alikuwa kinyozi wakati anajisomesha mbezi beach secondary na pakulala alikuwa hana...
Nilichoona wasanii wa bongo wanamiliki mabanda ya kuku while wenzao wanamiliki Mansion.
Nilichoona wasanii wa bongo wanamiliki mabanda ya kuku while wenzao wanamiliki Mansion.
Hizo nyumba za hao waganda!!
Diamond kuna wakati nilisoma vya udaku ni km ana nyumba 5 za Apartments.
I though komando binti ana gorofa na anamiliki Range Rover Evoque.
Wasanii wetu wa kibongo wanapenda sifa tu vitendo hakuna, utasikia video mil 200 wakati nyumba kumalizia inamshinda.
Mbaya sana.
Nahisi hao mameneja wao wanawadhulumu kwa namna fulani.
Haiwezekani mwenye akili timamu afanye video 1 tu kwa m200 halafu nyumba zao ndo mmh. Hizo bei za video, kurekodi ni magumashi mameneja wanapiga cha juu.
Wasanii wanaishia kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa huko magazeti ya udaku na matapeli wa town (kiumbe et al) wanawatafutia mademu wakali wa mjini wawalie hela then wanagawana nao! Nawaza tu......!!
Hizo nyumba ni aibu kwa baadhi yao na majina waliyonayo!
usije kuta hao wa nje ni biashara haramu tunawakosoa wa kwetu kumbe ni halali yao so huwezi fananisha!
Nilisoma mahali kuwa bongo fleva inakubalika sana hata nje ya mipaka. Kila nikienda nairobi nyimbo hata za mr. Nice bado zinapendwa sana na kupigwa. Hizi za ss hivi ndo utafkiria wamelogezewa.
Alienda diamond tamasha huko akalipwa mara kadhaa ya hao nguli wa kenya! So, how come hao wa nje wawazidi mali hivyo. Tena wa uganda?!
Usije kuta hao wa nje ni biashara haramu tunawakosoa wa kwetu kumbe ni halali yao so huwezi fananisha!
Nilisoma mahali kuwa Bongo Fleva inakubalika sana hata nje ya mipaka. Kila nikienda Nairobi nyimbo hata za Mr. Nice bado zinapendwa sana na kupigwa. Hizi za ss hivi ndo utafkiria wamelogezewa.
Alienda Diamond tamasha huko akalipwa mara kadhaa ya hao nguli wa Kenya! So, how come hao wa nje wawazidi mali hivyo. Tena wa Uganda?!
Chameleone kaipoteza nyumba yake, yupo kwenye financial crisis kwa sasa amepanga, Sababu nini, Sababu ni kuuliwa mwaka jana kwa mshikaji wao ambaye ni rafiki wa Leone island, ndugu wa marehemu wanataka kumuua, ikashindikana kupata mnunuzi ikabidi kuwekwa bond bank
Sasa wanataka kumuua, ndio auze nyumba? Polisi wanafanya kazi gani?
tatizo la wabongo show off nyingi
uongo uongo wa vipato vyao halisi
mfano msanii mmoja alidanganya analipwa mil20 nje ya nchi per show kumbe analipwa mil 6 hadi 7 per show so ni mbaya sana
Ndo.mana umeambiwa.wabongo show off zimewazidi