Baada ya kundi la yamoto band kusambaratika kutokana na madogo kutumika kwa mkubwa fela p na Temba bila kufaidi jasho lao hata zile nyumba walizojengewa mkubwa fela kukataa kuwapa.
chanzo cha kuondoka ilikuwa ni zile nyumba ambazo fela alidai kawajengea wale vijana. Mwanzoni mwa mwaka jana madogo walikuwa wanataka wapewe nyumba zao kila mtu afanye mwenyewe finishing.
Mkubwa fela alikuwa mbogo.. hataki kusikia kuhusu nyumba. inasemekana Aslay na BEKA ndiyo walikuwa wakikomalia wapewe nyumba zao.. Kumbe hati za nyumba zote zimeandikwa jina la Diwani wetu wa chama dume. Ina maana siyo za madogo..
Chambuso ndiyo aliwatonya madogo.. Madogo baada ya kuona wanadhulumiwa wakaanzisha mgomo baridi.. Mkubwa Fella akawapa kisogo akaendelea na watoto wengine. Madogo wakajitoa Yamoto.. Mkubwa Fella akafurahi akaona kelele za nyumba zimeshaisha.
Aslay aliwasiliana na Diamond. Kipind Dai yupo South na walikubaliana yeye na Mbosso wataenda Wasafi.. Mkubwa Fella alivyosikia hivyo akamwambia Dai unafeli mwana achana na huyo Dogo. Dogo ana kimeo ana dharau sana. Tumchukue Mbosso tu.. Aslay achana naye.
Nasikia Mkubwa Fella anatafuta mteja wa kuziuza hizo nyumba ili awazime kabsa madogo na huu mpango unasukwa karibu kabisa na Temba. Msando kesi hizi zako mzee!
Diamond umeliacha jembe la kukuingizia pesa kisa huyu Meneja uchwara!?
Hivi watalamu wa sheria hawa madogo hawawezi wakapata haki yao kweli? Hata kwa ushahidi wa kimatukio? Kwa maana hati za nyumba siyo majina yao but kwenye sheria kuna ushahid wa kimazingira.. Nimesahau sikusoma sheria.. Kama kuna mdau anajua sheria fresh aje inbox tuiweke mkakati vizuri.. Haiwezekani madogo waishi kimaskini wakati jasho lao anakula Fella.
Diamond mchukue dogo Aslay.. Fuata ushauri aliokushauri SK.
Mkubwa Fella, rudisha nyumba za madogo wa Ya Moto.. Unajisikiaje watoto wale wamepanga hata Vits hawana?
chanzo cha kuondoka ilikuwa ni zile nyumba ambazo fela alidai kawajengea wale vijana. Mwanzoni mwa mwaka jana madogo walikuwa wanataka wapewe nyumba zao kila mtu afanye mwenyewe finishing.
Mkubwa fela alikuwa mbogo.. hataki kusikia kuhusu nyumba. inasemekana Aslay na BEKA ndiyo walikuwa wakikomalia wapewe nyumba zao.. Kumbe hati za nyumba zote zimeandikwa jina la Diwani wetu wa chama dume. Ina maana siyo za madogo..
Chambuso ndiyo aliwatonya madogo.. Madogo baada ya kuona wanadhulumiwa wakaanzisha mgomo baridi.. Mkubwa Fella akawapa kisogo akaendelea na watoto wengine. Madogo wakajitoa Yamoto.. Mkubwa Fella akafurahi akaona kelele za nyumba zimeshaisha.
Aslay aliwasiliana na Diamond. Kipind Dai yupo South na walikubaliana yeye na Mbosso wataenda Wasafi.. Mkubwa Fella alivyosikia hivyo akamwambia Dai unafeli mwana achana na huyo Dogo. Dogo ana kimeo ana dharau sana. Tumchukue Mbosso tu.. Aslay achana naye.
Nasikia Mkubwa Fella anatafuta mteja wa kuziuza hizo nyumba ili awazime kabsa madogo na huu mpango unasukwa karibu kabisa na Temba. Msando kesi hizi zako mzee!
Diamond umeliacha jembe la kukuingizia pesa kisa huyu Meneja uchwara!?
Hivi watalamu wa sheria hawa madogo hawawezi wakapata haki yao kweli? Hata kwa ushahidi wa kimatukio? Kwa maana hati za nyumba siyo majina yao but kwenye sheria kuna ushahid wa kimazingira.. Nimesahau sikusoma sheria.. Kama kuna mdau anajua sheria fresh aje inbox tuiweke mkakati vizuri.. Haiwezekani madogo waishi kimaskini wakati jasho lao anakula Fella.
Diamond mchukue dogo Aslay.. Fuata ushauri aliokushauri SK.
Mkubwa Fella, rudisha nyumba za madogo wa Ya Moto.. Unajisikiaje watoto wale wamepanga hata Vits hawana?