House4Rent Nyumba zinapangishwa MbeziBeach

House4Rent Nyumba zinapangishwa MbeziBeach

Madalali hivi hamjasoma alama za nyakati? 550,000 huko shamba halafu bado nilipie Ulinzi, Maji, umeme na usafi si gharama inafika 1m kwa mwezi??? Usawa huu kweli?
Sasa wewe dalali apange bei Kwani yeye Nyumba yake??? Hivi Wewe Nyumba yako alafu mtu akupangie bei inaingia akilini??? Jaribu Kuwaza Kwa Mapana, dalali ni mtu wa kati tu Maelewano ya mwisho ni baina ya mpangaji na mmiliki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani, hizo bei zinazoainishwa ni Kwa mujibu ya Wamiliki ( Wenye Nyumba ) lakini pia Soko la Nyumba MbeziBeach ndiyo lipo ivyo. Kama uamini tafuta jamaa au rafiki aliyepanga MbeziBeach muulize analipaje? Zingatia location ya Nyumba, status ya Nyumba na services zinapatikana ndani ya Nyumba kama Maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenye nyumba au madalali mnataka mpate nusu kwa nusu na mwenye nyumba

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kwenye Nyumba za Kupanga haipo ivyo Mkuu, dalali huwa tunachukua Kodi ya Mwezi 1 ( Nusu Mwezi Kwa Mpangaji na Nusu Mwezi Kwa Mmiliki ) so Kwa mazingira hayo dalali kama ataongeza Kodi atakuwa anamfaidisha Mmiliki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye Nyumba za Kupanga haipo ivyo Mkuu, dalali huwa tunachukua Kodi ya Mwezi 1 ( Nusu Mwezi Kwa Mpangaji na Nusu Mwezi Kwa Mmiliki ) so Kwa mazingira hayo dalali kama ataongeza Kodi atakuwa anamfaidisha Mmiliki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa vizuri
Na WhatsApp umo pia?

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Duh kuna watu mnaishi. Yaani kodi yako ya mwezi ni kodi yangu ya miezi 11.
 
Back
Top Bottom