Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo nikweli hali ni ngumu kipindi hiki mkuu Ila .............Uchumi umekuwa tata sana hata asset haziuziki. Kuna rafiki yangu anauza nyumba ilishindikana na ipo pazuri na nzuri tu. Nyumba ya mil 80 mtu anakuja na mil 30. Kiwanja cha mil 30 mwaka 2014 leo hii ukipata mnunuzi wa mil 10 ni bahati sana. Uchumi wa kati eti
Eneo la kutosha gari mpak mlangoni pia balabala inapitika bila shida umbali dk 5 tu toka balabala kuu hati ipo ya serikali ya mtaa karibu sanaGari inafika? Kiwanja kina hati? Maana hujaonyesha mazingira zaidi ya nyumba yenyewe. Usikute gari inabidi kupaki kwa jirani hifadhi za mtaani.
Sawa AhsanteDaah! Paa refu utadhani mnafugia majini huko darini!
Hii hata ukinipa bure, sichukui!
5Eneo la kutosha gari mpak mlangoni pia balabala inapitika bila shida umbali dk 5 tu toka balabala kuu hati ipo ya serikali ya mtaa karibu sana
Dk 5 kwa miguu toka balabala kuu ya lami na kuhusu maji chanika hatuna shida ya maji kwa hilo halina shidaDk 5 ya mguu au Gari? Ni vyema uelezee ni km ngapi kutoka barabarani. Ila chanika najua maji ni shida sana Dawasa haijakanyaga huko. Au tayari?
5
Siyo kweli ndugu kila nyumba inakiwanja chake kwa uhakika zaidi fika sehem husika ukagueSasa hizo nyumba zimejengwa jengwa vipi? Manake hapo hapo naona kuna nyumba zingine kwa mfano upande wa kulia kuna hiyo yenye paa jekundu, na nyuma kuna hiyo yenye paa la bluu. Naona kama zimejengwa kwenye kiwanja kimoja
nyumba nzuri sana,NYUMBA INAUZWA CHANIKA MWISHO MJINI
AREA : SQM 400
LOCATION: CHANIKA MWISHO MJINI
SIMU:: WhatsApp:+255 6 28 00 82 18
TIGO:+255 7 10 01 32 34
AIRTEL:+255 6 84 23 03 99
VODA:+255 7 69 89 77 79 (wsp)
INA VYUMBA VITATU VYA KULALA CHUMBA KIMOJA MASTER PUBLIC TOILET JIKO STOO DINING ROOM NA SITTING ROOM PIA HUDUMA ZOTE ZIPO::;; KARIBUNI SANAView attachment 1598603View attachment 1598604View attachment 1598605View attachment 1598607View attachment 1598609
Karibu sana finishing unaweza kumalizianyumba nzuri sana,
Mziki finishing
[emoji28]Mbona kama mmeijenga, kisha mnaiuza ?! Au ndo biashara mpya siku hizi ?!
Au wewe unaonaje ?![emoji28]
Yah, nami nlifikiri ivoAu wewe unaonaje ?!
Piga simu kwa maelezo zaidiMbona kama mmeijenga, kisha mnaiuza ?! Au ndo biashara mpya siku hizi ?!