Maguge Maguge
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 2,734
- 1,778
kitambo sana!Nyumbani kuzuri alafu unaulizia bei ya vyumba?
mtakufa kwa magonjwa ya mlipukoWasalimie sana Kgm sisi wengine ngoja tuendelee kukomaa na jiji!
Huyu wa Nyumbigwa.Huyu wa kagerankanda au kilelema
Huyu wa kagerankanda au kilelema
shida hakuna, kule maisha plus, vyote mnavyokula mjini vinatoka kwetu!Umekimbia umbea, joto, majungu na foleni unakimbilia kwenye shida, umasikini, chini na uchawi KIGOMA
njiapanda pale MwandigaTaja na kijiji unachoenda aisee isije kua unayokea titye au murufiti huko...halafu wajifanya mjanja...
hiyo avata yako imenitisha nimeshindwa kuitazama vyema[emoji16] [emoji16]Wasalimie chigoma!
hapa nikiwaambia siku ya kuondoka lazima mnipige roba ya mbao!safar njema mkuu,ukipata nauli utarudi tena mjin karbuuu
hahaha ayaaa mkuu,wasalmie chigomaaahapa nikiwaambia siku ya kuondoka lazima mnipige roba ya mbao!
maana nyie!
wewe, hata mkono wa kwa kheri bas, unaniaga kwa kicheko tu?hahaha ayaaa mkuu,wasalmie chigomaaa
kwaheriii nmepunga mkono japo hunioni,safar safiii nakutakiawewe, hata mkono wa kwa kheri bas, unaniaga kwa kicheko tu?
kwa kheri ya mkono wa kiswahili hiyo siyo, mkono wa kwa kheri [emoji108] [emoji108]kwaheriii nmepunga mkono japo hunioni,safar safiii nakutakia