Nyumbani kuzuri Daima, Narudi kwetu Kigoma

Nyumbani kuzuri Daima, Narudi kwetu Kigoma

Wafikishie salam kigoma vijana was kigoma wanalazimisha kupumulia ukikataa wanakununia kwanini hujampumulia
 
Safi sana na mimi najiandaa kuchukua Adventure kurudi kwetu Kigoma kijijini kwetu Muyamaaaaaa
 
Nenda kapige mikekee, masembe, mnyemwe, ngazi za hote, mteke, nonzi, Sompo-mabele, kivunde n.k.
 
Nenda kapige mikekee, masembe, mnyemwe, ngazi za hote, mteke, nonzi, Sompo-mabele, kivunde n.k.
kwa maneno yako inaonekana na wewe umepakumbuka, twende, 'mkataa kwao ni mtumwa'
 
MREJESHO SAFARI YA KIGOMA.

________________________________

Baada ya kukuta kigoma napo wanaisoma namba niliamua kurudi kupitia njia ya uvinza mishamo mpanda....

Tulipokaribia mpada, tukiwa tayali eneo la mjini, Gari tulilopanda, (Adventure) liliigonga fuso kwa nyuma na kuiangusha pembeni ya barabara huku gari letu likiwa limeharibika kwa mbele kutokana na ajali hiyo!!

Namshukuru Mungu, baada ya hapo tulibadilishiwa gari tukaendelea na safari na tulifika salama!!
 
MREJESHO SAFARI YA KIGOMA.

________________________________

Baada ya kukuta kigoma napo wanaisoma namba niliamua kurudi kupitia njia ya uvinza mishamo mpanda....

Tulipokaribia mpada, tukiwa tayali eneo la mjini, Gari tulilopanda, (Adventure) liliigonga fuso kwa nyuma na kuiangusha pembeni ya barabara huku gari letu likiwa limeharibika kwa mbele kutokana na ajali hiyo!!

Namshukuru Mungu, baada ya hapo tulibadilishiwa gari tukaendelea na safari na tulifika salama!!
Upo serious kweli mkuu
 
Dah.. Kweli Makonda si wa mchezomchezo[emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom