NYUMBANI KWANZA:Filamu Bora Za kibongo!!!


Swahiba ukitaka kusaidia tasnia ya filamu nchini kwako ni vyema uwe na jicho la tatu.....critics wapo duniani kote....even hollywood movies huwa zina makosa yao kwa kiwango chao.......na vilevile na wao wana story zao zinazoshahibiana na lifestyle yao au wanayotaka kuwa nayo.......Ukiwa mfuatiliaji mzuri...utakosoa mapungufu na utaona kati ya wanaojitahidi......Hata Nigerians,SouhjAfricans wako juu kwa kupenda vya kwao....kususa au kukandia tu sababu umeudhiwa na films mbili tatu si vyema atiiiiiiiii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…