Habari za mwaka mpya 2024 wapendwa katika Bwana, natumaini wooooote wazima, mwenye changamoto yoyote basi MWENYEZI MUNGU ASAIDIE
Unajua katika majumba yetu tulikozaliwa kuna vitu utavikuta iwe tv, nguo, kabati, meza chochote kile cha zamani kimetunzwa kweli, na bado kinatumika, ukiulizia hiko kitu utaambiwa labda wakati bibi yako mzaa mama anaolewa alipewa zawadi 🤣🤣 dah! Kwaiyo kimekuzidi umri hapo miaka mingi sana
Na kuna kile kitu umezaliwa umekuwa ndo kinaletwa home kwa hiyo hapo ndo kusema mnalingana nacho maana umekiona kimeletwa
Basi mimi kuna mwembe huo Nyumbani ndo nalingana nao umri 😁 maana umepandwa naucheck tu mpaka leo limekuwa likubwa linatoa maembe na limenipita urefu😆
Pia kuna vya kunipita umri miaka na miaka na ni vidogo tu asee, kama vikombe, mikoba mpaka meza inatumika mpaka leo hadi kitanda ase
Ebu tililika na wewe mdau vitu ngani vimekupita umri na vingine mnaringana
Unajua katika majumba yetu tulikozaliwa kuna vitu utavikuta iwe tv, nguo, kabati, meza chochote kile cha zamani kimetunzwa kweli, na bado kinatumika, ukiulizia hiko kitu utaambiwa labda wakati bibi yako mzaa mama anaolewa alipewa zawadi 🤣🤣 dah! Kwaiyo kimekuzidi umri hapo miaka mingi sana
Na kuna kile kitu umezaliwa umekuwa ndo kinaletwa home kwa hiyo hapo ndo kusema mnalingana nacho maana umekiona kimeletwa
Basi mimi kuna mwembe huo Nyumbani ndo nalingana nao umri 😁 maana umepandwa naucheck tu mpaka leo limekuwa likubwa linatoa maembe na limenipita urefu😆
Pia kuna vya kunipita umri miaka na miaka na ni vidogo tu asee, kama vikombe, mikoba mpaka meza inatumika mpaka leo hadi kitanda ase
Ebu tililika na wewe mdau vitu ngani vimekupita umri na vingine mnaringana