nelly nely
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 665
- 229
teh teh.....nitumie namb yako au ya mama vNitumie buku tano kwenye Eatel mane nakufundisha hatua tatu rahisi za kupata ban.. yaani haitapita nusu saa utakuwa umeipata hiyo ban..
nshakula Ban kama mara 7 hivi...
Umofia kwenu wadau,
Leo nimetimiza miaka mi3 ndani ya JF,shukrani kwa members wenzangu,mods kwa ushirikiano wenu,sijawahi kula ban ndani ya miaka yote hyo kwani uzi wa Invisible how to use JF upo kichwani wote!! Pamoja sana!!!
khaaaa!hayo mengne sasaNtakutumia yangu na ya Kova.. ya Mama v haipo...
Maisha yanakwenda kwa kasi.Dah longtime kitambo, mtoto aliyezaliwa ashakua.
Maandishi hayafutikiUmofia kwenu wadau,
Leo nimetimiza miaka mi3 ndani ya JF,shukrani kwa members wenzangu,mods kwa ushirikiano wenu,sijawahi kula ban ndani ya miaka yote hyo kwani uzi wa Invisible how to use JF upo kichwani wote!! Pamoja sana!!!
Maandishi hayafutiki
Ukimuona kazeeka jua kakwepa mishale mingiKabisa Mkuu ,Tunaweka Kumbukumbu sawa.
How it started(3 Yrs) and How It's going (10 years) - Kwa Hisani ya Twita Repabliki.
Kabisa huyo ndio King Kong.Ukimuona kazeeka jua kakwepa mishale mingiView attachment 1601810
Kwa kweliMaisha yanakwenda kwa kasi.
Nyundo 10 ndani ya JF.