Kua age yako ni ndogo kuliko miaka uliyosoma?Basi wengine tulisoma tukiwa wadogo..
HahahaBora umemjibu,naona yeye alikua anaujua umri wako kuliko wewe mwenyewe!😀
Sisemi ni ndogo maana kwenye kusoma umri sio issue maana wakati nasoma secondary nimesoma na madingi zanguKua age yako ni ndogo kuliko miaka uliyosoma?
Ooh okeySisemi ni ndogo maana kwenye kusoma umri sio issue maana wakati nasoma secondary nimesoma na madingi zangu
sio katuni tu hata eski anajua kudownloadHongera mkuu. Mimi enzi hizo simu nilikuwa naona kwa baba na mama tu.
Chaajabu saizi mdogo wangu wa miaka mitano anachezea simu na computer kuzidi watu wazima humu.
Imagine dogo anajua ku download cartoon and anime torrents kabisa wakati kuna wakubwa humu wanakujaga kuomba series.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hivi mkuu ban ina ladha gani?
Hawezi kujua maana situmii hizo kitu so sijamfundisha hizosio katuni tu hata eski anajua kudownload
Poa Na Hongera
[emoji121] Haahahaa nitaifanyia AICC,You are Welcome!!Hongera mkuu.. Kwahiyo sherehe itakua minjingu au?
Hongera mkuu
Happy birthday to u ndo inakufaaa..mm niliijua 2011 ila nilikuwa sina wazo la kujiunga nilikuwa mshamba mshamba tyuuu....-nilikuwa busy na tweete na insta ila nilipoachana na hiyo mitandao mwaka huuu ndo nikaona jf inafumbua macho sana kuliko ig inadanganya na uhalisia... Happy birthday to u🍻
Pamoja mkuu
hongera sana me kpnd hicho hata sijui npo la ngapi
Poa Na Hongera
Thx a lot guyz.hongera sana me kpnd hicho hata sijui npo la ngapi
Mzee Ukwaju Mm nimejiunga 2010 lakini hilo jukwaa LA Wazee Sijawahi lifikia..kuna ñn Huko? Nishawah kuwapm moderators waniunganishe bila mafanikioMm niliingia JF 2009
nimeshakula BAN moja kule Jukwaa la WAZEE
nikaingia PM kwa Mod fulani akaangalia sababu akanifungulia
usiombe kupigwa BAN bora upumzike mwenyewe kuliko kulazimishwa usichangie JF
Naishukuru jf
Imenpatia demu
[emoji121] Nimepata faida nyingi sana tangu nijiunge na JF,kibiashara,hata idea ya kuuza mkaa nimepata humu,nimepata demu kupitia JF,nimepata marafiki wengi sana via JF,nimetanua ufahamu kwa dezas za JF na mengine chini ya kapeti.Ooh hongera sana. Ni kwa kiasi gani JF imebadilisha maisha yako? + au -
Hongera sana King Kong.
Hongera mkuu King Kong III tupo pamoja.
Hongera King Kong
Hongera sana
kila la kheri mkuu uzidi kugonga Nyundo
Poa Na Hongera
Ypo mbona mkuu,huwa nafanya hata nilipotimiza nyundo moja na tatu nilifanya.Haya mambo ya Happy birthday yameanza lini humuu
Nyundo ya 10 ndani ya JF.kila la kheri mkuu uzidi kugonga Nyundo
Duh hili Jukwaa tena halipoMzee Ukwaju Mm nimejiunga 2010 lakini hilo jukwaa LA Wazee Sijawahi lifikia..kuna ñn Huko? Nishawah kuwapm moderators waniunganishe bila mafanikio