Nyungu ni bora zaidi ya hizo chanjo tunazoletewa

Nyungu ni bora zaidi ya hizo chanjo tunazoletewa

Jackwillpower

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2017
Posts
2,467
Reaction score
3,687
Hivi hizo chanjo dozi million (1) ambazo wameleta kuwafanyia watanzania (wananchi ) majaribio wakati sisi tupo zaid ya 50 milion ma zaidi na @hamisi_kigwangalla huoni lengo au msaada huu hautawafikia watanzania wote.

Tukumbuke kuna chanjo ya HEPATITIS B niulize ni WATANZANIA wangapi wa hali ya chini ambao wamechoma chanjo hii? JE wananchi wa hali ya chini wanajua gharama hata za chanjo hii ya HEPATITIS B ?

Hata hii UVIKO 19 ni biashara na itafikia wakati watu wa hali ya chini hawatakuwa na uwezo wa kuichoma. Wanatumia nafasi hii kuiingiza na kuitangaza by free then biashara ije ianze.

Mimi nazidi kuwashauri ndugu zangu watanzania tuendelee kupenda vya kwetu na kuthamini vya kwetu NYUNGU is the best cure than that (vaccine)vaccination. Nyungu ni bora zaidi ya hizo chanjo tunazoletewa na MABEBERU

1627507981354.png
 
Nyungu uhusika wake katika kuugua corona, au maambukizi mengine yanayohusu koo na mapafu ni kupunguza msongamano wa maudenda fulani kooni, ni sawa kama vile miti kama mi-krimasi inapopukutisha mauwa basi mtu anafagia uwanja kupunguza majani au mauwa yaliyopukutika. Mtu akiisha fagia majani yaliyopukutika china basi uwanja hupendeza kwa muda halafu baadae mauwa au majani janajaa tena mtu bila kuchelewa anayafagia uwanja unapendeza kwa usafi kwa muda, hivyo hivyoo mpaka msimu wa upukutishaji unaisha;

Nyungu inasaidia kupunguz uchafu kwenye koo kwani ule mvuke hulainisha koo makohozi au yale ma milenda milenda mtu akiisha piga nyungu anakohowa mlundikano wa makohozi kooni unapungua kwa muda. Anaendelea hivyo hivyo mpaka ugonjwa kooni na kwenye mapafu upone.
NYUNGU inakupa nafuu fulani tu kooni ukiwa mgonjwa.

CHANJO YOYOTE ya ugonjwa unaosababshwa na virusi ni kuambikizwa ugojwa huo ambao wadudu wanakuwa wamepunguzwa nguvu ili kuuwezesha mwili kutengeneza kinga dhidi ya ugonjwa huo mfano Surua, Polio, ndui n,k.
 
Hivi hizo chanjo dozi million (1) ambazo wameleta kuwafanyia watanzania (wananchi ) majaribio wakati sisi tupo zaid ya 50 milion ma zaidi na @hamisi_kigwangalla huoni lengo au msaada huu hautawafikia watanzania wote.

Tukumbuke kuna chanjo ya HEPATITIS B niulize ni WATANZANIA wangapi wa hali ya chini ambao wamechoma chanjo hii? JE wananchi wa hali ya chini wanajua gharama hata za chanjo hii ya HEPATITIS B ?

Hata hii UVIKO 19 ni biashara na itafikia wakati watu wa hali ya chini hawatakuwa na uwezo wa kuichoma. Wanatumia nafasi hii kuiingiza na kuitangaza by free then biashara ije ianze.

Mimi nazidi kuwashauri ndugu zangu watanzania tuendelee kupenda vya kwetu na kuthamini vya kwetu NYUNGU is the best cure than that (vaccine)vaccination. Nyungu ni bora zaidi ya hizo chanjo tunazoletewa na MABEBERU

View attachment 1872976
Sawa jivukize
 
Back
Top Bottom