Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Ebo
Sasa mkuu badala ya kudiscuss mustakabadhi wa nchi yetu tunadiscuss namna ya kupeana likes au wa mwisho ndo mshindi??![emoji32][emoji32][emoji32].......hii ni haki kweli???Sasa kwa nini unazichukia
sisi watu tusiojulikana hata tukidiscuss maoni yetu hayafanyiwi kaziSasa mkuu badala ya kudiscuss mustakabadhi wa nchi yetu tunadiscuss namna ya kupeana likes au wa mwisho ndo mshindi??![emoji32][emoji32][emoji32].......hii ni haki kweli???
1. Makapuku Forum
2. Wamwisho ndiyo mshindi
3. Uzi wa kupeana likes
4.......ongeza wakwako.
Shikamoosisi watu tusiojulikana hata tukidiscuss maoni yetu hayafanyiwi kazi
wa pm mods waziondoe2,3 cjui hao watu hua wanajadili
Nn huko ndan Bora tena makapuku
unazichukia ndio na ni haki yako kuchagua ila mtihani ni kuzuia kuziona au kuzifuta. KAMA HUWEZI KUPIGANA NAO BASI JIUNGE NAO1. Makapuku Forum
2. Wamwisho ndiyo mshindi
3. Uzi wa kupeana likes
4.......ongeza wakwako.