Nyuzi 3 ninazozichukia hapa JF

Nyuzi 3 ninazozichukia hapa JF

Kuna Siku nkaingia thread ya wa mwisho ndio mshindi duh aiseee nashangaa watu eti mule wanaulizana makazi cjui Mara huyu kasema nichek pm mara flani mrembo humu yaani khaaa Hata sielewi maana yake ya wa mwisho ndo mshindi but siichukii
 
Endelea kuzichukia sisi BADO TUNAPETA...
e6b686903dec8cc5b0c0442b3a2a00cb.jpg
 
Ngoja kuna yangu moja niliwaza kuianzisha naenda kuipost muda si mrefu utaongezea kwenye list yako.
 
Back
Top Bottom