Nyuzi bomba 2017 kutoka kila Jukwaa & JF man of the year

Nyuzi bomba 2017 kutoka kila Jukwaa & JF man of the year

YANI NILIKUWA NASUBIRI NIONE MMU UZI UPI....USINGEKUWA HUO WA SEHEMU HATARI YA KUFANYA MAPENZI BASI NINGESEMA UTAFITI WA UONGO HUU AU DATA ZA UONGO...ILA MULE MULE......TUZO SAHIHI KABISA
 
Kwangu mimi, katika jukwaa la Elimu kuna kichwa hatari san kinajiita Haber Faraday uzi "Chakula cha akili" watu ni wavivu tu wa kusoma makala ndefu lakini jamaa ni Extraordinary, jana tu nimelinyaka somo lake moja la kufungia mwaka ningeweza kuapload hapa japo hata bila idhini yake ningeliweka bt naona linanigomea.
 
Ebwana eeeh na mimi nimo

Mleta uzi respect

Nikianza mazoezi tutaendelea kukutana

Peace out
 
Nyuzi yako poa imekuwa bomba..
Umefanya nime 'subscribe'
 
Umejipa authority ya kuchagua nyuzi wakati hutembelei majukwaa ya kutosha au huna uzoefu wa kutosha...

Thread ya "Biashara za Badoo" ilianza miaka mingi sana.
 
Oooh!!!
Hii tuzo nilistahili kabisa 100%, ya kaisari mwachie kaisari..
prize-certificates-templates-free-free-printable-award-certificates-blank-certificates-download.jpg
 
Kwangu mimi, katika jukwaa la Elimu kuna kichwa hatari san kinajiita Haber Faraday uzi "Chakula cha akili" watu ni wavivu tu wa kusoma makala ndefu lakini jamaa ni Extraordinary, jana tu nimelinyaka somo lake moja la kufungia mwaka ningeweza kuapload hapa japo hata bila idhini yake ningeliweka bt naona linanigomea.
Ngoja nikasome pia
 
Back
Top Bottom