Nywele na kitovu cha mtoto hupelekwa wapi?

Nywele na kitovu cha mtoto hupelekwa wapi?

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Nywele za watoto wachanga zinaponyolewa huwa zinapelekwa kwa nani na kwanini?

Pia kumekuwa na kitovu cha mtoto kimekuwa kikichukuliwa huwa wanapeleka wapi?

Pia wanaochukua kitovu na nywele wanazifanyia nini?

Haya maswali nimejiuliza ni baada ya kusikia kwa Kuhani Musa katika ibada ya Jumapili ya keo iliyokuwa ikieleza kuhusu nywele na kitovu cha mtoto.

Kuhani Musa yeye anasema kuwa nywele na kitovu cha mtoto huchukuliwa na wachawi kwa lengo la kuharibu akili za watoto na mambo mengi yahusuyo mafanikio ya maisha.

Pia anasema kuwa nywele za wanaume hazipaswi kunyolewa kipara.

Pia wanawake wanapaswa kufunika vichwa vyao wanapofanya ibada.

Nimeona nilete hapa maana kuna watu wa imani mbalimbali ili tujuzane zaidi...
 
Yeremia 1:5
[5]Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.
Before I formed thee in the belly I knew thee; and before thou camest forth out of the womb I sanctified thee, and I ordained thee a prophet unto the nations.

Hao wachawi hawatoweza
 
Yeremia 1:5
[5]Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.
Before I formed thee in the belly I knew thee; and before thou camest forth out of the womb I sanctified thee, and I ordained thee a prophet unto the nations.

Hao wachawi hawatoweza
Mkuu huwa sipaelewi hapa,siyo kwamba kuna mtu(labda Yeremia mwenyewe) ndo alitakaswa?
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Nywele za watoto wachanga zinaponyolewa huwa zinapelekwa kwa nani na kwanini?

Pia kumekuwa na kitovu cha mtoto kimekuwa kikichukuliwa huwa wanapeleka wapi?

Pia wanaochukua kitovu na nywele wanazifanyia nini?

Haya maswali nimejiuliza ni baada ya kusikia kwa Kuhani Musa katika ibada ya Jumapili ya keo iliyokuwa ikieleza kuhusu nywele na kitovu cha mtoto.

Kuhani Musa yeye anasema kuwa nywele na kitovu cha mtoto huchukuliwa na wachawi kwa lengo la kuharibu akili za watoto na mambo mengi yahusuyo mafanikio ya maisha.

Pia anasema kuwa nywele za wanaume hazipaswi kunyolewa kipara.

Pia wanawake wanapaswa kufunika vichwa vyao wanapofanya ibada.

Nimeona nilete hapa maana kuna watu wa imani mbalimbali ili tujuzane zaidi...
Huko mbele kuna harufu ya ugomvi hii mada hii hii
 
Kitovu kinatupwa kwenye zizi kikanyagwe kanyagwe kipotee
 
Miaka ya nyuma vywele na vitovu vya wwtoto vilikuwa vinatumika na bibi ama shangazi wa baba mtoto kufengeneza maagano ya kiukoo ama kifamilia kumhusu huyo mtoto.wachawi pia waliviiba kwa nguvu zagiza kama wazazi hawana uimara wa ulinzi.

Kwa sasa maagano hakuna hasa kwa wakristo. so vitovu hutupwa tu na wazazi wenyewe kwa damu ya Yesu Kristo.
 
Miaka ya nyuma vywele na vitovu vya wwtoto vilikuwa vinatumika na bibi ama shangazi wa baba mtoto kufengeneza maagano ya kiukoo ama kifamilia kumhusu huyo mtoto.wachawi pia waliviiba kwa nguvu zagiza kama wazazi hawana uimara wa ulinzi.

Kwa sasa maagano hakuna hasa kwa wakristo. so vitovu hutupwa tu na wazazi wenyewe kwa damu ya Yesu Kristo.
Bado kuna baadhi yao wanatukuza mambo ya mizimu ya ukoo, ambayo ndani ya ukoo kuna wachawi...
 
Back
Top Bottom