Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Nywele za watoto wachanga zinaponyolewa huwa zinapelekwa kwa nani na kwanini?
Pia kumekuwa na kitovu cha mtoto kimekuwa kikichukuliwa huwa wanapeleka wapi?
Pia wanaochukua kitovu na nywele wanazifanyia nini?
Haya maswali nimejiuliza ni baada ya kusikia kwa Kuhani Musa katika ibada ya Jumapili ya keo iliyokuwa ikieleza kuhusu nywele na kitovu cha mtoto.
Kuhani Musa yeye anasema kuwa nywele na kitovu cha mtoto huchukuliwa na wachawi kwa lengo la kuharibu akili za watoto na mambo mengi yahusuyo mafanikio ya maisha.
Pia anasema kuwa nywele za wanaume hazipaswi kunyolewa kipara.
Pia wanawake wanapaswa kufunika vichwa vyao wanapofanya ibada.
Nimeona nilete hapa maana kuna watu wa imani mbalimbali ili tujuzane zaidi...
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Nywele za watoto wachanga zinaponyolewa huwa zinapelekwa kwa nani na kwanini?
Pia kumekuwa na kitovu cha mtoto kimekuwa kikichukuliwa huwa wanapeleka wapi?
Pia wanaochukua kitovu na nywele wanazifanyia nini?
Haya maswali nimejiuliza ni baada ya kusikia kwa Kuhani Musa katika ibada ya Jumapili ya keo iliyokuwa ikieleza kuhusu nywele na kitovu cha mtoto.
Kuhani Musa yeye anasema kuwa nywele na kitovu cha mtoto huchukuliwa na wachawi kwa lengo la kuharibu akili za watoto na mambo mengi yahusuyo mafanikio ya maisha.
Pia anasema kuwa nywele za wanaume hazipaswi kunyolewa kipara.
Pia wanawake wanapaswa kufunika vichwa vyao wanapofanya ibada.
Nimeona nilete hapa maana kuna watu wa imani mbalimbali ili tujuzane zaidi...