Nywele sehemu za siri na makwapani

Nywele sehemu za siri na makwapani

kuna kitu kisafi aliweka maria roza mi nikamuuliza cream gani wanatumia kushevu siku pata jibu....hebu nidakulie na mimi wa kwetu

kufuga hizi kitu hapana kwa kweli......

Hhahaha hha nimecheka balaa nalifanyia kazi..
 
Ku reduce friction durin sex!! kivipi sasa willy wakati friction ipo kati ya uuke na uume? nisaidie bro.
 
jamani, tumetofautiana,....................... mi ukitaka shughli yanguu uikubali, wewe nifugie hayo manywele..............na itokee ndo ukawa umebarikiwa na yale mamistari (stretch marks)................. hahah, naweza kuuza kila kitu nikafirisika kabisa..................
 
jamani, tumetofautiana,....................... mi ukitaka shughli yanguu uikubali, wewe nifugie hayo manywele..............na itokee ndo ukawa umebarikiwa na yale mamistari (stretch marks)................. hahah, naweza kuuza kila kitu nikafirisika kabisa..................


uwiiiiiiiiiiiiiiiiii

pori plus zebra crossing, niwie radhi shemeji...............
 
haya mambo jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
watu badala ya kuuliza faida na hasara za sehemu zenyewe za siri wanauliza mambo ya nywele????????????
mbona za kichwani hawaulizi????????????????,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,kazi yake inaeleweka?????????
tujadili maendeleo na maisha bora kwa kila mtz
 
haya mambo jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
watu badala ya kuuliza faida na hasara za sehemu zenyewe za siri wanauliza mambo ya nywele????????????
mbona za kichwani hawaulizi????????????????,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,kazi yake inaeleweka?????????
tujadili maendeleo na maisha bora kwa kila mtz

tukijadili hayo sana tutachoka mwisho wa siku tutajikuta tumerudi huku huku...bora tuyachanganye ili tuyabalance maisha yasogee mbele
 
Back
Top Bottom