CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Acha uongo wewIgweeeee.......
Kuna jamaa mmoja amesema kuwa yeye amepata dili la kuuza nywele za binadamu nchini Kenya.
Nywele hizo hutumika kutengenezea viti vya ndege... Kwani husaidia viti kutobonyea.
Wadau hii ni kweli???
CL
Acha uongo wew
Eee bhanaa eee
Kuna nywele za kwapani,kidevu,kichwani na kuleeeee kati kule tulikotokea
Ni zipi kati ya hizo?
Ha ha haNywele za kichwani bana....
Muulize mshana jr aliweka uzi wake wa nywele atakuwa anajuaIgweeeee.......
Kuna jamaa mmoja amesema kuwa yeye amepata dili la kuuza nywele za binadamu nchini Kenya.
Nywele hizo hutumika kutengenezea viti vya ndege... Kwani husaidia viti kutobonyea.
Wadau hii ni kweli???
CL
Kweli unazo kilo moja ksh 2000Igweeeee.......
Kuna jamaa mmoja amesema kuwa yeye amepata dili la kuuza nywele za binadamu nchini Kenya.
Nywele hizo hutumika kutengenezea viti vya ndege... Kwani husaidia viti kutobonyea.
Wadau hii ni kweli???
CL
Usiende takupa helaAje nimuuzie kipili pili changu maana jumamosi naenda kukikata
Yani wewe uzichuku nywele zangu ama?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] HapanaYani wewe uzichuku nywele zangu ama?
Mie sizitaki tena yani nimezichoka sana
Niletee takuhifadhiaMie sizitaki tena yani nimezichoka sana
Mweeeeh over my dead body kwako kabisa labda kama nijitoe kafara kabla yakukuletea
Igweeeee.......
Kuna jamaa mmoja amesema kuwa yeye amepata dili la kuuza nywele za binadamu nchini Kenya.
Nywele hizo hutumika kutengenezea viti vya ndege... Kwani husaidia viti kutobonyea.
Wadau hii ni kweli???
CL