[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] I will wait the dead body[emoji144] [emoji144] [emoji144]Mweeeeh over my dead body kwako kabisa labda kama nijitoe kafara kabla yakukuletea
Hapa nadhani itakuwa ni ndevu..Eee bhanaa eee
Kuna nywele za kwapani,kidevu,kichwani na kuleeeee kati kule tulikotokea
Ni zipi kati ya hizo?
Hahahahaha bora tu usubirie hiyo hiyo dead body[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] I will wait the dead body[emoji144] [emoji144] [emoji144]
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
HahahaaaHahahahaha bora tu usubirie hiyo hiyo dead body
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Hapa nadhani itakuwa ni ndevu..
Kweli unazo kilo moja ksh 2000
tufanye biashara nilikuwa na mpango wa kwenda kunyoa saloon, nitakupataje ili nikupe nywele zanguIgweeeee.......
Kuna jamaa mmoja amesema kuwa yeye amepata dili la kuuza nywele za binadamu nchini Kenya.
Nywele hizo hutumika kutengenezea viti vya ndege... Kwani husaidia viti kutobonyea.
Wadau hii ni kweli???
CL