Nywele za kifuani mpaka tumboni kero kubwa napata shida

Mijinywele yaanzia uvunguni, yapanda hadi kitovuni, tumboni, yapanda hadi kifuani, hiyoooo weeeee, yapanda shingoni, hiyo mijinywele yajaa usoni, yaenda hadi mgongoni, yaanza kushuka chini, hiyo hadi kiunoni, yateremka chini hadi vungu uvundo, kasheshe ukitaka kunyoa unaanzia wapi?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Jamii Forum imeniongezea sana siku za kuishi maana si kwa vituko hivi [emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…