Nywele za kifuani mpaka tumboni kero kubwa napata shida

Nywele za kifuani mpaka tumboni kero kubwa napata shida

Bora wewe kifuani wengine hadi mapajani pia.
 
Mijinywele yaanzia uvunguni, yapanda hadi kitovuni, tumboni, yapanda hadi kifuani, hiyoooo weeeee, yapanda shingoni, hiyo mijinywele yajaa usoni, yaenda hadi mgongoni, yaanza kushuka chini, hiyo hadi kiunoni, yateremka chini hadi vungu uvundo, kasheshe ukitaka kunyoa unaanzia wapi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah

Cc Kingsmann
 
Jamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Jamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena
 
Jamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

unageuka mbioooo

unageuka mbiooo

unageuka mbiooo
hhhhhhh
 
Jamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena
aiseee 😂 😂 😂 😂 😂 😂
nimecheka kifala
 
Mijinywele yaanzia uvunguni, yapanda hadi kitovuni, tumboni, yapanda hadi kifuani, hiyoooo weeeee, yapanda shingoni, hiyo mijinywele yajaa usoni, yaenda hadi mgongoni, yaanza kushuka chini, hiyo hadi kiunoni, yateremka chini hadi vungu uvundo, kasheshe ukitaka kunyoa unaanzia wapi?
😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Ni sahihi Kwa mwanaume kuacha nywele za kifuani mpaka tumboni

Me naomba msaada kama kuna dawa niyaondoe napata wakat mgumu sana

Ahsante nisaidieni
Tabia ya kishamba sana kujaribu kukimbia asili yako
 
Jamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena
:-D:-D:-D:-D
 
Hapo ukitaka kunyoa unaita wale jamaa wanaofyeka kwenye hifadhi ya barabara [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bujibuji,
 
Sasa huu si uchafu tu khaaaa
s-l1600.jpg
 
Back
Top Bottom