Nywele za kifuani mpaka tumboni kero kubwa napata shida

Bora wewe kifuani wengine hadi mapajani pia.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah

Cc Kingsmann
 
Jamaa hajasaidiwa chochote imepigwa jalamba tu hapa...
Dawa yake ni ndogo tu washa moto wa mabua kisha vua nguo zote alafu uwe unapita katikati ya moto mbioooo unageuka tena mbioooop unageuka tena mbiooooooo unageuka tena mbiooo unageuka tena mbioo hadi ziungue zote hazitaota tena
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

unageuka mbioooo

unageuka mbiooo

unageuka mbiooo
hhhhhhh
 
aiseee πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
nimecheka kifala
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Ni sahihi Kwa mwanaume kuacha nywele za kifuani mpaka tumboni

Me naomba msaada kama kuna dawa niyaondoe napata wakat mgumu sana

Ahsante nisaidieni
Tabia ya kishamba sana kujaribu kukimbia asili yako
 
:-D:-D:-D:-D
 
Hapo ukitaka kunyoa unaita wale jamaa wanaofyeka kwenye hifadhi ya barabara [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bujibuji,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…