hee mbna me nimesuka tatu kichwa kule kunako? kha. . kila mtu anacho anachokipenda!
mmmmmh! jaman hayo ni ya kweli??? ama??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hee mbna me nimesuka tatu kichwa kule kunako? kha. . kila mtu anacho anachokipenda!
Si ungemuuliza huyo mdada
sasa kiongozi ina maana wewe unafikiri wanajamii wote ni akina eric shigongo,,,,,?inch 5, mmmmmmmmmh
hii kama si story ya kutunga huo ni uchafu!
Mwanamke hatakiwi kua na nywele sehemu yoyote zaidi ya kichwani.
How are u ladies and gentlemen,,,,!
Jamani mwenzenu nimetoka moro ninakoishi na kwenda kumsalimia ndugu yangu anayeishi singida mjini.
Sasa leo j2 mida ya saa nne asubuhi nikiwa kwenye daladala kuelekea maeneo ya mwenge sekondari ndipo nikajikuta nimekaa siti ya pili ya daladala na huku abiria wengine wakiwa wamesimama.
Miongomi mwa abiria hao waliosimama alikuwepo dada mmoja wa ukweli na mwanaume yeyote akimuona basi lazima atataka kumwangalia tena na tena ili kutoyanyima macho yake haki ya msingi ya kuona na kutizama.
Dada ni mrefu,mwili wa wastan,kifua hakijapigwa jeki na vingine vingi.
LAKINI BAADA YA YEYE KUINUA MKONO NA KUSHIKILIA BOMBA NDIPO NIKAONA MSITU WA NYWELE KWENYE KIKWAPA CHAKE NA NI NDEFU ZAIDI HATA YA NCHI TANO.
Nilipomuuza mwenyeji wangu akaniambie eti ni 'FASHION' Sasa mi naomba nijue ukweli wa hili jambo.
How are u ladies and gentlemen,,,,!
Jamani mwenzenu nimetoka moro ninakoishi na kwenda kumsalimia ndugu yangu anayeishi singida mjini.
Sasa leo j2 mida ya saa nne asubuhi nikiwa kwenye daladala kuelekea maeneo ya mwenge sekondari ndipo nikajikuta nimekaa siti ya pili ya daladala na huku abiria wengine wakiwa wamesimama.
Miongomi mwa abiria hao waliosimama alikuwepo dada mmoja wa ukweli na mwanaume yeyote akimuona basi lazima atataka kumwangalia tena na tena ili kutoyanyima macho yake haki ya msingi ya kuona na kutizama.
Dada ni mrefu,mwili wa wastan,kifua hakijapigwa jeki na vingine vingi.
LAKINI BAADA YA YEYE KUINUA MKONO NA KUSHIKILIA BOMBA NDIPO NIKAONA MSITU WA NYWELE KWENYE KIKWAPA CHAKE NA NI NDEFU ZAIDI HATA YA NCHI TANO.
Nilipomuuza mwenyeji wangu akaniambie eti ni 'FASHION' Sasa mi naomba nijue ukweli wa hili jambo.
kuna wengine wanaziachz hadi zinaota ukungu/utando mweupe mweupe hivi, hapo ndo utakimbia.
dah mimi mwenyewe kidume lakini full time kwapa langu kipara, hata za huku ikulu nako lazima ninyoe..najua wanaume wengi hawanyoi, ila kama ni mwanamke hata kama mzuri vipi akiwa na msitu kwapani tu, kashapoteza mvuto kwangu..Hivi kama kwapani kuko hivyo je uko kwingine vp?
dah mimi mwenyewe kidume lakini full time kwapa langu kipara, hata za huku ikulu nako lazima ninyoe..najua wanaume wengi hawanyoi, ila kama ni mwanamke hata kama mzuri vipi akiwa na msitu kwapani tu, kashapoteza mvuto kwangu..Hivi kama kwapani kuko hivyo je uko kwingine vp?
hee mbna me nimesuka tatu kichwa kule kunako? kha. . kila mtu anacho anachokipenda!
sasa hao hawazioshi. we hujaona zile zinazotunzwa zinakuwa black pia kitu inang'aa utadhani imewekwa super black....
mie hapana, hata ziweje.