Nywele za kwapani,,,,!

Si ungemuuliza huyo mdada

Kwako wewe unayejiita Maria Roza: Kumuuliza mtu swali personal na sensitive kiasi,inategemea sana mazingira.
Unaanzaje kumuuliza kwewnye daladala na huku kuna watu kibao,,,?
 

Sema tu ulimtamani yule mdada so ule msitu ndo ulifanya u back up. Anyway, kwa vile mwenyeji wako amekuambia kuwa hiyo ni kawaida ya wana Singida, so fanya uchunguzi yakinifu hapo Singida, then leta mrejesho nyuma hapa JF.
 

ni fashion hizo kwani hujui? huku kwetu zinaitwa SOMETHING FROM THE VILLAGE.
 
Reactions: BAK
kuna wengine wanaziachz hadi zinaota ukungu/utando mweupe mweupe hivi, hapo ndo utakimbia.
 
kuna wengine wanaziachz hadi zinaota ukungu/utando mweupe mweupe hivi, hapo ndo utakimbia.

sasa hao hawazioshi. we hujaona zile zinazotunzwa zinakuwa black pia kitu inang'aa utadhani imewekwa super black....
 
dah mimi mwenyewe kidume lakini full time kwapa langu kipara, hata za huku ikulu nako lazima ninyoe..najua wanaume wengi hawanyoi, ila kama ni mwanamke hata kama mzuri vipi akiwa na msitu kwapani tu, kashapoteza mvuto kwangu..Hivi kama kwapani kuko hivyo je uko kwingine vp?
 
dah mimi mwenyewe kidume lakini full time kwapa langu kipara, hata za huku ikulu nako lazima ninyoe..najua wanaume wengi hawanyoi, ila kama ni mwanamke hata kama mzuri vipi akiwa na msitu kwapani tu, kashapoteza mvuto kwangu..Hivi kama kwapani kuko hivyo je uko kwingine vp?
 

Sa wewe kanuni ya kutunza mazingira na misitu yetu imekupiga chenga! Wake up man!
 

Wewe kanuni ya kutunza mazingira na 'misitu' yetu imekupiga chenga. Wake up man!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…