Nywele za sehemu za siri zipo hapo kwasababu

Nywele za sehemu za siri zipo hapo kwasababu

moonlightj12

Member
Joined
Dec 6, 2022
Posts
33
Reaction score
90
Imekua ni utamaduni kwa wanawake kunyoa sehemu za siri na kubakiza upara kabisa, hii inaweza kusababisha kushambuliwa kwa urahisi na bakteria.

''Unavyonyoa sehemu za siri, unasababisha usumbufu kwenye ngozi, tumeona watu wanajikata, na maambukizi pia.''

Kama unataka kunyoa, unapaswa kutumia wembe safi, mpya, na unyoe namna ambayo nywele zimeota, ili kuepusha nywele kuota vibaya.

Lakini pia nywele zinatakiwa zibaki kwa sababu kwa namna moja ama nyingine husababisha athari kwa masuala ya ngono.

Nywele zina maana yake, na ni sehemu muhimu kati ya ngozi na sehemu za siri.
 
imekua ni utamaduni kwa wanawake kunyoa sehemu za siri na kubakiza upara kabisa, hii inaweza kusababisha kushambuliwa kwa urahisi na bakteria.

''Unavyonyoa sehemu za siri, unasababisha usumbufu kwenye ngozi, tumeona watu wanajikata, na maambukizi pia''

Kama unataka kunyoa, unapaswa kutumia wembe safi, mpya, na unyoe namna ambayo nywele zimeota, ili kuepusha nywele kuota vibaya.

Lakini pia nywele zinatakiwa zibaki kwa sababu kwa namna moja ama nyingine husababisha athari kwa masuala ya ngono.

Nywele zina maana yake, na ni sehemu muhimu kati ya ngozi na sehemu za siri.
Huwa unaziacha zile zinazokuota hadi mlango ule unaoangalia kuzimu ukiwa msalani au [emoji848]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Zikibaki hata kidogo zinaharibu zile moments(mavazi) za beach

Imajini unavaa zako bikini ,hapo kati kuna vuzi limetuna
nme imagine.... now niko na pozi kama la kipa wa Argentina
images-4.jpeg
 
imekua ni utamaduni kwa wanawake kunyoa sehemu za siri na kubakiza upara kabisa, hii inaweza kusababisha kushambuliwa kwa urahisi na bakteria.

''Unavyonyoa sehemu za siri, unasababisha usumbufu kwenye ngozi, tumeona watu wanajikata, na maambukizi pia''

Kama unataka kunyoa, unapaswa kutumia wembe safi, mpya, na unyoe namna ambayo nywele zimeota, ili kuepusha nywele kuota vibaya.

Lakini pia nywele zinatakiwa zibaki kwa sababu kwa namna moja ama nyingine husababisha athari kwa masuala ya ngono.

Nywele zina maana yake, na ni sehemu muhimu kati ya ngozi na sehemu za siri.
Sawa nitaihubiri hii injili
 
Imekua ni utamaduni kwa wanawake kunyoa sehemu za siri na kubakiza upara kabisa, hii inaweza kusababisha kushambuliwa kwa urahisi na bakteria.

''Unavyonyoa sehemu za siri, unasababisha usumbufu kwenye ngozi, tumeona watu wanajikata, na maambukizi pia''

Kama unataka kunyoa, unapaswa kutumia wembe safi, mpya, na unyoe namna ambayo nywele zimeota, ili kuepusha nywele kuota vibaya.

Lakini pia nywele zinatakiwa zibaki kwa sababu kwa namna moja ama nyingine husababisha athari kwa masuala ya ngono.

Nywele zina maana yake, na ni sehemu muhimu kati ya ngozi na sehemu za siri.
Nywele sehemu za Siri au kwapani husababisha K kunuka au kwapa kunuka! Usihalalishe uchafu
 
Back
Top Bottom