Nywele za sehemu za siri zipo hapo kwasababu

Nywele za sehemu za siri zipo hapo kwasababu

Imekua ni utamaduni kwa wanawake kunyoa sehemu za siri na kubakiza upara kabisa, hii inaweza kusababisha kushambuliwa kwa urahisi na bakteria.

''Unavyonyoa sehemu za siri, unasababisha usumbufu kwenye ngozi, tumeona watu wanajikata, na maambukizi pia.''

Kama unataka kunyoa, unapaswa kutumia wembe safi, mpya, na unyoe namna ambayo nywele zimeota, ili kuepusha nywele kuota vibaya.

Lakini pia nywele zinatakiwa zibaki kwa sababu kwa namna moja ama nyingine husababisha athari kwa masuala ya ngono.

Nywele zina maana yake, na ni sehemu muhimu kati ya ngozi na sehemu za siri.
Umesema kuwa nywele zinatakiwa zibaki kwa sababu kwa namna moja ama nyingine husababisha athari kwa masuala ya ngono. Ni athari gani hizo? Una ushahidi gani kuwa kunyowa nyele sehemu za siri kuna athari zozote zile?
 
Bila picha huu uzi itakuwa unauza chai tu. Hebu tuone jinsi ambavyo wewe umenyoa
 
Naunga mkono hoja. Kiuhalisia kwa upande nikikutana na mwanamke aliyenyoa mavuzi yakabaki kdg km usawa wa nywele za kuchania brush, huwa napata hamu zaidi ya tendo. Lkn nikikutana na aliyenyoa kipara kbisa, nakosaga Vibe. Sitombi kwa raha
 
Ngozi inatakiwa ifunikwe na nywele, kinachotakiwa ni usafi wa hali ya juu. Mungu aliweka hizo nywele kwa kusudi maalumu.
 
Imekua ni utamaduni kwa wanawake kunyoa sehemu za siri na kubakiza upara kabisa, hii inaweza kusababisha kushambuliwa kwa urahisi na bakteria.

''Unavyonyoa sehemu za siri, unasababisha usumbufu kwenye ngozi, tumeona watu wanajikata, na maambukizi pia.''

Kama unataka kunyoa, unapaswa kutumia wembe safi, mpya, na unyoe namna ambayo nywele zimeota, ili kuepusha nywele kuota vibaya.

Lakini pia nywele zinatakiwa zibaki kwa sababu kwa namna moja ama nyingine husababisha athari kwa masuala ya ngono.

Nywele zina maana yake, na ni sehemu muhimu kati ya ngozi na sehemu za siri.

Na zile zinazootaga kabisa kwenye mdura wa kariakoo shimoni kuja mpaka maenea ya mbezi gedeni huku mbele chni kabisa zina madhara kunyoa?
 
Back
Top Bottom