Methyl phenol
Senior Member
- Jul 22, 2021
- 184
- 280
jaribu mafuta ya mnyonyo mkuu.Kama kichwa inavyo jieleza am only 20 old but nywele zangu zimekuwa zikinisumbua zinatoka na kuacha vigepu kuna wakati nilikuwa natumia brush ngumu sana ya kuchania nywele nikahisi ndo chanzo.
But kuna watu wengine wanaambiwa inasababishwa na upotevu au kupungua kwa protini mwilini (kiafya niko tu normal snaga matatzo yoyote)
Nahitaji msaada je nitumie vitu gani ku recover io protein loss?
Kuna mafuta gani yanaweza nisaidia shida hii. Au solution nyingine yoyote ya tatizo!!??
[emoji120][emoji120][emoji120]
so kivile tunaeza kuwa karibu na usigundue sema nkiziachaniza bila kuzichana zikikaa hovyo zinaonekana kwa mbali so inaboaaweka picha. Umekula ndege kinyonyoki nini?
yap hayo mkuu sina idea nayo kabisa...jaribu mafuta ya mnyonyo mkuu.
jaribu hayo bossyap hayo mkuu sina idea nayo kabisa...
yanauzwa maduka ya vipodoziyap hayo mkuu sina idea nayo kabisa...
Wanasemaga maparachichi
πππππYa Juice[emoji16]
CHAPUTA inahusikaje mkuu?Jiondoe CHAPUTA fasta dogo
daah[emoji23][emoji23]Kipara cha fwedha hicho mkuu... Bado kitambi tu...