Habari wanajf.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 26,sijawahi kupatwa na tatizo lolote kuhusu nywele,ila tangu juzi nimeshangaa kuona nywele zangu zikipukutika kichwani.Yaani nikizishika tu zinatoka zenyewe na sehemu iliyotoka nywele inabaki kipara kabisa.
Nisaidieni jamani sijui ni kitu gani hiki ,au imesababishwa na nini??
Asanteni.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 26,sijawahi kupatwa na tatizo lolote kuhusu nywele,ila tangu juzi nimeshangaa kuona nywele zangu zikipukutika kichwani.Yaani nikizishika tu zinatoka zenyewe na sehemu iliyotoka nywele inabaki kipara kabisa.
Nisaidieni jamani sijui ni kitu gani hiki ,au imesababishwa na nini??
Asanteni.