shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Kuna mbwa inataka kunipanda kichwanimkuu kulikoni
Mkuu kwanini sasa hutaki ajue password.Kuna mbwa inataka kunipanda kichwani
vp umeshapasua mtu?Wakuu poleni sana na majukumu ya kutwa nzima. Ipo hivi mke anataka kujua password ya simu yangu tena analazimisha.
Sasa nataka aguse simu nimpasue, leo napasua mtu.
Muimbie hakuna matata ya marioKuna mbwa inataka kunipanda kichwani
Sio lazima jina la kitabu lisadifu yaliyomo.Mbona jina lako linakinzana na uyasemayo
Nilimpa mkwara mzito hakugusa cm .vp umeshapasua mtu?