KERO Nzega: Zahanati nyingi zina mhudumu mmoja, akipata dharura zinafungwa

KERO Nzega: Zahanati nyingi zina mhudumu mmoja, akipata dharura zinafungwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

X men

Member
Joined
Dec 26, 2021
Posts
18
Reaction score
35
Habari wana JF.

Leo napenda kuzungumzia kero ya huduma za Afya katika zahanati nyingi za mkoa wa Tabora.

Kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la ufunguzi wa zahanati mpya katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Tabora na maalum niizungumzie Halmashauri ya Nzega Vijijini ambayo imefungua zahanati nyingi mpya lakini zina huduma mbovu sana kwakua hizo zahanati zinakua na mtoa huduma mmoja, ikitokea huyu mtoa huduma kapata dharura basi kituo kinafungwa na watu wanakosa huduma.

Kwa sasa wako katika vipindi vya maandalizi ya bajeti ya 2025/26, wananchi tunapata shida kwani muda mwingi zahanati zinafungwa na tunakosa huduma.

Sasa lengo la kufungua zahanati kisha unapeleka mhudumu mmoja ambaye huyo huyo atibu, azalishe na kufanya majukumu ya kiuongozi inawezekana vipi? Si bora wasingezifungua sasa?

Hii ni kero kubwa kwetu wananchi wa Nzega.
 
Lengo la serikali sikivu ya CCM ni kusogeza huduma karibu sana na wananchi, na hatua mojawapo muhimu ya kufikia malengo hayo ni kujenga zahanati karibu na walipo wananchi.

Maeneo mengi nchini hilo limefanikiwa sana na waTanzania kwa ujumla wao wanafaa kumshukuru Mungu kwaajili ya kazi kubwa na nzuri sana ya Dr.Samia Suluhu Hassan ya kuboresha mazingira ya kutolea afya kwa waTanzania wote.

Hatua ya pili inayafuata ni kupeleka vifaaa tiba na vifaa vingine muhimu vya afya kwenye vituo na zahanati hizo, ikiwa ni pamoja na madawa, vitendea kazi kama vile vitanda, samani n.k.

Hata hivyo, zoezi hili linakwenda sambamba na kuongeza watumishi na wahudumu wa afya katika maeneo hayo, licha ya kazi kubwa ya kujenga makazi ya watumishi nayo pia ikiendelea.

Kwahiyo ndugu wananchi, kazi kubwa imefanyika kwa weledi na mafanikio makubwa sana lakini pia kazi kubwa sana inaendelea kufanyika kwa bidii katika kuboresha sekta hii ya afya ili iwe bora zaidi.

Kama taifa, yafaa tuwe wastahimilivu wenye shukrani na subra tafadhali 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Lengo la serikali sikivu ya CCM ni kusogeza huduma karibu sana na wananchi, na hatua mojawapo muhimu ya kufikia malengo hayo ni kujenga zahanati karibu na walipo wananchi.

Maeneo mengi nchini hilo limefanikiwa sana na waTanzania kwa ujumla wao wanafaa kumshukuru Mungu kwaajili ya kazi kubwa na nzuri sana ya Dr.Samia Suluhu Hassan ya kuboresha mazingira ya kutolea afya kwa waTanzania wote.

Hatua ya pili inayafuata ni kupeleka vifaaa tiba na vifaa vingine muhimu vya afya kwenye vituo na zahanati hizo, ikiwa ni pamoja na madawa, vitendea kazi kama vile vitanda, samani n.k.

Hata hivyo,
zoezi hili linakwenda sambamba na kuongeza watumishi na wahudumu wa afya katika maeneo hayo, licha ya kazi kubwa ya kujenga makazi ya watumishi nayo pia ikiendelea.

Kwahiyo ndugu wananchi, kazi kubwa imefanyika kwa weledi na mafanikio makubwa sana lakini pia kazi kubwa sana inaendelea kufanyika kwa bidii katika kuboresha sekta hii ya afya ili iwe bora zaidi.

kama taifa,
yafaa tuwe wastahimilivu wenye shukrani na subra tafadhali [emoji205]

Mungu Ibariki Tanzania
Ukiwa chawa lazima akili zako ziwe pungufu kdgo sio kila jambo unauwezo la kulitetea.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Una hoja ya msingi lakini kichwa cha hoja yako kina bias. Huwezi kusema ni Zahanati za Kisiasa wakati serikali imejitahidi kufikisha huduma ya afya kwa wananchi. Ina maana wewe unatamani wananchi wangeendelea kuteseka kwa kusafiri umbali mrefu kufuata huduma ya afya?? Huoni jambo lililofanywa na serikali kujenga vituo vya afya na zahanati ktk vijiji vyenu ni jambo la kuishukuru na kuipongeza serikali??
Uungwana ulikua hivi.., ungeipongeza serikali kwa juhudi kubwa iliyofanya, kisha ungetoa pendekezo kuwa, pamoja na uwepo wa zahanati hizo serikali ijitahidi kuleta wahudumu wa kutosha ili huduma zisisimame. Lakini kuziita ni zahanati za kisiasa sio sahihi kabisa.

Habari wana JF. Leo napenda kuzungumzia kero ya huduma za Afya katika zahanati nyingi za mkoa wa Tabora. Kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni kumekua na ongezeko kubwa la ufunguzi wa zahanati mpya katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Tabora na maalum niizungumzie Halmashauri ya Nzega Vijijini ambayo imefungua zahanati nyingi mpya lakini zina huduma mbovu sana kwakua hizo zahanati zinakua na mtoa huduma mmoja, ikitokea huyu mtoa huduma kapata dharura basi kituo kinagungwa na watu wanakosa huduma, kwasasa wako katika vipindi vya maandalizi ya bajeti ya 2025/26, wananchi tunapata shida kwani muda mwingi zahanati zinafungwa na tunakosa huduma,sasa lengo la kufungua zahanati kisha unapeleka mhudumu mmoja ambaye huyo huyo atibu, azalishe na kufanya majukumu ya kiuongozi inawezekana vipi?? Si bora wasingezifungua sasa?? Hii ni kero kubwa kwetu wananchi wa Nzega.
 
Habari wana JF. Leo napenda kuzungumzia kero ya huduma za Afya katika zahanati nyingi za mkoa wa Tabora. Kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni kumekua na ongezeko kubwa la ufunguzi wa zahanati mpya katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Tabora na maalum niizungumzie Halmashauri ya Nzega Vijijini ambayo imefungua zahanati nyingi mpya lakini zina huduma mbovu sana kwakua hizo zahanati zinakua na mtoa huduma mmoja, ikitokea huyu mtoa huduma kapata dharura basi kituo kinagungwa na watu wanakosa huduma, kwasasa wako katika vipindi vya maandalizi ya bajeti ya 2025/26, wananchi tunapata shida kwani muda mwingi zahanati zinafungwa na tunakosa huduma,sasa lengo la kufungua zahanati kisha unapeleka mhudumu mmoja ambaye huyo huyo atibu, azalishe na kufanya majukumu ya kiuongozi inawezekana vipi?? Si bora wasingezifungua sasa?? Hii ni kero kubwa kwetu wananchi wa Nzega.
Lengo la serikali sikivu ya CCM ni kusogeza huduma karibu sana na wananchi, na hatua mojawapo muhimu ya kufikia malengo hayo ni kujenga zahanati karibu na walipo wananchi.

Maeneo mengi nchini hilo limefanikiwa sana na waTanzania kwa ujumla wao wanafaa kumshukuru Mungu kwaajili ya kazi kubwa na nzuri sana ya Dr.Samia Suluhu Hassan ya kuboresha mazingira ya kutolea afya kwa waTanzania wote.

Hatua ya pili inayafuata ni kupeleka vifaaa tiba na vifaa vingine muhimu vya afya kwenye vituo na zahanati hizo, ikiwa ni pamoja na madawa, vitendea kazi kama vile vitanda, samani n.k.

Hata hivyo,
zoezi hili linakwenda sambamba na kuongeza watumishi na wahudumu wa afya katika maeneo hayo, licha ya kazi kubwa ya kujenga makazi ya watumishi nayo pia ikiendelea.

Kwahiyo ndugu wananchi, kazi kubwa imefanyika kwa weledi na mafanikio makubwa sana lakini pia kazi kubwa sana inaendelea kufanyika kwa bidii katika kuboresha sekta hii ya afya ili iwe bora zaidi.

kama taifa yafaa Tuwe wastahimilivu wenye shukrani na subra tafadhali 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ukiwa chawa lazima akili zako ziwe pungufu kdgo sio kila jambo unauwezo la kulitetea.
My friends, ladies and gentlemen,
maelekezo hayo muafaka ni kwa faida ya wadau wote JF,

huna haja ya mihemko dhidi ya ukweli huo bayana tena kwa lugha rahisi kabisa 🐒
 
Habari wana JF.

Leo napenda kuzungumzia kero ya huduma za Afya katika zahanati nyingi za mkoa wa Tabora.

Kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la ufunguzi wa zahanati mpya katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Tabora na maalum niizungumzie Halmashauri ya Nzega Vijijini ambayo imefungua zahanati nyingi mpya lakini zina huduma mbovu sana kwakua hizo zahanati zinakua na mtoa huduma mmoja, ikitokea huyu mtoa huduma kapata dharura basi kituo kinafungwa na watu wanakosa huduma.

Kwa sasa wako katika vipindi vya maandalizi ya bajeti ya 2025/26, wananchi tunapata shida kwani muda mwingi zahanati zinafungwa na tunakosa huduma.

Sasa lengo la kufungua zahanati kisha unapeleka mhudumu mmoja ambaye huyo huyo atibu, azalishe na kufanya majukumu ya kiuongozi inawezekana vipi? Si bora wasingezifungua sasa?

Hii ni kero kubwa kwetu wananchi wa Nzega.
Ingekua busara sana kama wangekamilisha vifaa tiba na wahudumu ndipo wafungue. Kwa namna ilivyo sasa, ni ulaghai kwa wananchi.
 
Una hoja ya msingi lakini kichwa cha hoja yako kina bias. Huwezi kusema ni Zahanati za Kisiasa wakati serikali imejitahidi kufikisha huduma ya afya kwa wananchi. Ina maana wewe unatamani wananchi wangeendelea kuteseka kwa kusafiri umbali mrefu kufuata huduma ya afya?? Huoni jambo lililofanywa na serikali kujenga vituo vya afya na zahanati ktk vijiji vyenu ni jambo la kuishukuru na kuipongeza serikali??
Uungwana ulikua hivi.., ungeipongeza serikali kwa juhudi kubwa iliyofanya, kisha ungetoa pendekezo kuwa, pamoja na uwepo wa zahanati hizo serikali ijitahidi kuleta wahudumu wa kutosha ili huduma zisisimame. Lakini kuziita ni zahanati za kisiasa sio sahihi kabisa.
Usiasa wa kichwa cha habari ni kwakua hizi zahanati nyingi zinafunguliwa kipindi hiki ambacho kuna vuguvugu la uchaguzi, vingi vya hivyo vituo havina hata usajili. Ni vema wangekamilisha kila kitu, wakaweka angalau idadi ya watumishi kadhaa ndipo wafungue, unadhani mtumishi mmoja anaweza kuhudumia kwa standard zinavyoelekeza?? Kama sivyo, wewe uko tayari kuhudumiwa chini ya kiwango?? Ama Mijini wana haki tofauti na wavijijini??
 
Lengo la serikali sikivu ya CCM ni kusogeza huduma karibu sana na wananchi, na hatua mojawapo muhimu ya kufikia malengo hayo ni kujenga zahanati karibu na walipo wananchi.

Maeneo mengi nchini hilo limefanikiwa sana na waTanzania kwa ujumla wao wanafaa kumshukuru Mungu kwaajili ya kazi kubwa na nzuri sana ya Dr.Samia Suluhu Hassan ya kuboresha mazingira ya kutolea afya kwa waTanzania wote.

Hatua ya pili inayafuata ni kupeleka vifaaa tiba na vifaa vingine muhimu vya afya kwenye vituo na zahanati hizo, ikiwa ni pamoja na madawa, vitendea kazi kama vile vitanda, samani n.k.

Hata hivyo, zoezi hili linakwenda sambamba na kuongeza watumishi na wahudumu wa afya katika maeneo hayo, licha ya kazi kubwa ya kujenga makazi ya watumishi nayo pia ikiendelea.

Kwahiyo ndugu wananchi, kazi kubwa imefanyika kwa weledi na mafanikio makubwa sana lakini pia kazi kubwa sana inaendelea kufanyika kwa bidii katika kuboresha sekta hii ya afya ili iwe bora zaidi.

Kama taifa, yafaa tuwe wastahimilivu wenye shukrani na subra tafadhali [emoji205]

Mungu Ibariki Tanzania
[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Una hoja ya msingi lakini kichwa cha hoja yako kina bias. Huwezi kusema ni Zahanati za Kisiasa wakati serikali imejitahidi kufikisha huduma ya afya kwa wananchi. Ina maana wewe unatamani wananchi wangeendelea kuteseka kwa kusafiri umbali mrefu kufuata huduma ya afya?? Huoni jambo lililofanywa na serikali kujenga vituo vya afya na zahanati ktk vijiji vyenu ni jambo la kuishukuru na kuipongeza serikali??
Uungwana ulikua hivi.., ungeipongeza serikali kwa juhudi kubwa iliyofanya, kisha ungetoa pendekezo kuwa, pamoja na uwepo wa zahanati hizo serikali ijitahidi kuleta wahudumu wa kutosha ili huduma zisisimame. Lakini kuziita ni zahanati za kisiasa sio sahihi kabisa.
majengo sio huduma. Huduma ni wawepo wahudumu, vitendea kazi, madawa nk, na sio lazima kuanza,na 100%, at least from 40%, jengo ni 10%, nurse mmoja ni 5%, ukute vifaa vilivyopo ni 5%, so unapeleka huduma just 20% then unafungua ianze kazi, are you stupid?[emoji34] then unajisifu umepeleka huduma ya afya,[emoji57]
 
majengo sio huduma. Huduma ni wawepo wahudumu, vitendea kazi, madawa nk, na sio lazima kuanza,na 100%, at least from 40%, jengo ni 10%, nurse mmoja ni 5%, ukute vifaa vilivyopo ni 5%, so unapeleka huduma just 20% then unafungua ianze kazi, are you stupid?[emoji34] then unajisifu umepeleka huduma ya afya,[emoji57]
Kwa mawazo yako ni vema wangepelekwa wahudumu kwanza kabla ya kujengwa majengo sio??
Serikali haiwezi kufanya vyote kwa pamoja ndio maana inaangalia vipaumbele. Hata wewe nyumbani kwako na familia yako huwezi kufanya vyote kwa pamoja. Kuweka majengo imara na mazuri yenye miundombinu kiasha kuweka dawa na vifaa tiba na kisha kupeleka wahudumu kwa kadiri ya uwezo ndio wazo sahihi. Huna uhakika kama vifaa tiba vipo alafu unasema ili utuaminishe kauli yako, kivipi?? Katika vitu ambavyo serikali imetoa kipaumbele ni kuhakikisha vituo vya afya, zahanati na hospitali zina vifaa tiba lakini pia zina miundombinu rafiki.
 

Attachments

  • IMG-20241009-WA0098.jpg
    IMG-20241009-WA0098.jpg
    553.8 KB · Views: 3
  • 20241016_200001.jpg
    20241016_200001.jpg
    436.3 KB · Views: 4
  • IMG-20241022-WA0053.jpg
    IMG-20241022-WA0053.jpg
    147.3 KB · Views: 4
Habari wana JF.

Leo napenda kuzungumzia kero ya huduma za Afya katika zahanati nyingi za mkoa wa Tabora.

Kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la ufunguzi wa zahanati mpya katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Tabora na maalum niizungumzie Halmashauri ya Nzega Vijijini ambayo imefungua zahanati nyingi mpya lakini zina huduma mbovu sana kwakua hizo zahanati zinakua na mtoa huduma mmoja, ikitokea huyu mtoa huduma kapata dharura basi kituo kinafungwa na watu wanakosa huduma.

Kwa sasa wako katika vipindi vya maandalizi ya bajeti ya 2025/26, wananchi tunapata shida kwani muda mwingi zahanati zinafungwa na tunakosa huduma.

Sasa lengo la kufungua zahanati kisha unapeleka mhudumu mmoja ambaye huyo huyo atibu, azalishe na kufanya majukumu ya kiuongozi inawezekana vipi? Si bora wasingezifungua sasa?

Hii ni kero kubwa kwetu wananchi wa Nzega.
Aisee hayo ndiyo maeneo ninayoyapenda kufanya kazi nisaidie watu Tabora ina kasumba hiyo wilaya zote kuna ukosefu wa watumishi wa Afya au idadi ya watumishi sasa
 
Lengo la serikali sikivu ya CCM ni kusogeza huduma karibu sana na wananchi, na hatua mojawapo muhimu ya kufikia malengo hayo ni kujenga zahanati karibu na walipo wananchi.

Maeneo mengi nchini hilo limefanikiwa sana na waTanzania kwa ujumla wao wanafaa kumshukuru Mungu kwaajili ya kazi kubwa na nzuri sana ya Dr.Samia Suluhu Hassan ya kuboresha mazingira ya kutolea afya kwa waTanzania wote.

Hatua ya pili inayafuata ni kupeleka vifaaa tiba na vifaa vingine muhimu vya afya kwenye vituo na zahanati hizo, ikiwa ni pamoja na madawa, vitendea kazi kama vile vitanda, samani n.k.

Hata hivyo, zoezi hili linakwenda sambamba na kuongeza watumishi na wahudumu wa afya katika maeneo hayo, licha ya kazi kubwa ya kujenga makazi ya watumishi nayo pia ikiendelea.

Kwahiyo ndugu wananchi, kazi kubwa imefanyika kwa weledi na mafanikio makubwa sana lakini pia kazi kubwa sana inaendelea kufanyika kwa bidii katika kuboresha sekta hii ya afya ili iwe bora zaidi.

Kama taifa, yafaa tuwe wastahimilivu wenye shukrani na subra tafadhali 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
We ni mpuuzi acha mapambio yako ya kishenzi
 
Back
Top Bottom