kamanda wa makamanda
JF-Expert Member
- Aug 21, 2015
- 629
- 492
Wadau habari za asubuhi wadau! Dar pia kuna viashiria vya kuvamiwa na nzige, naomba serikali ifanye utafiti wake vizuri, kuepusha hili balaa la nzige lililoanzia nchini kenya na sasa kuonekana hadi dar es salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app