Nzige wameingia uganda mji wa kitiguu wageuzwa kitoweo

Nzige wameingia uganda mji wa kitiguu wageuzwa kitoweo

Unakumbuma mkuu tukiwa machungani tulivyokuwa tunawatunga kwenye kamba? Ukitoa ile miguu ya nyuma (tunaita mapando) wanatengeza tundu hapo ndipo unapitisha kamba yako unakuwa kama mtungo fulani hivi! Ilikuwaga burudani sana wakati huo! Watoto wetu wanaya-miss haya maisha pole yao aisee!
Mkuu mbona kama tumetoka sehemu moja? Hebu nipm huenda wewe ni jirani yangu aisee!
Tunawatunga kwenye kamba za katani (wunela) kwa kutumia ule mwiba wake. Au kwa kutumia kijiti flani kirefu hivi chembamba kama spoku ya baiskeli.
 
Mkuu mbona kama tumetoka sehemu moja? Hebu nipm huenda wewe ni jirani yangu aisee!
Tunawatunga kwenye kamba za katani (wunela) kwa kutumia ule mwiba wake. Au kwa kutumia kijiti flani kirefu hivi chembamba kama spoku ya baiskeli.
Nimekubali mkuu wewe kweli ni Msukuma original! Ndiyo hivyo mkuu, Mimi natoka Busega ambayo sasa hivi iko Simiyu, zamani tulikuwa Magu, Mwanza.
 
Back
Top Bottom