Nzige wameingia uganda mji wa kitiguu wageuzwa kitoweo

Mkuu mbona kama tumetoka sehemu moja? Hebu nipm huenda wewe ni jirani yangu aisee!
Tunawatunga kwenye kamba za katani (wunela) kwa kutumia ule mwiba wake. Au kwa kutumia kijiti flani kirefu hivi chembamba kama spoku ya baiskeli.
 
Mkuu mbona kama tumetoka sehemu moja? Hebu nipm huenda wewe ni jirani yangu aisee!
Tunawatunga kwenye kamba za katani (wunela) kwa kutumia ule mwiba wake. Au kwa kutumia kijiti flani kirefu hivi chembamba kama spoku ya baiskeli.
Nimekubali mkuu wewe kweli ni Msukuma original! Ndiyo hivyo mkuu, Mimi natoka Busega ambayo sasa hivi iko Simiyu, zamani tulikuwa Magu, Mwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…