Nzige Wavamia Kilimanjaro

Nzige Wavamia Kilimanjaro

Wametokea kenya kupitia same. Mbona waziri wa kilimo alisema atawadhibiti kwa dawa.
Naona kama siasa inaingizwa katika shughuli hii ya kudhibiti nzige. Waziri aliongea kwamba wanapulizia dawa na watakua wamewamaliza nzige wote kwa muda wa siku mbili au tatu tu!

Kwa maoni yangu jambo hili sio jepesi kama inavyoelezwa na wanasiasa. Wenzetu Wakenya wanapambana na makundi ya nzige kwa zaidi ya miezi sita sasa na bado hawajafanikiwa kuwamaliza pamoja na kua wao wana vifaa vya kisasa zaidi kuwasaidia kupambana na mlipuko huo

Ni vizuri Wizara ya Kilimo na Serikali yetu kwa ujumla vifanye juhudi za makusudi kuweka mikakati endelevu ya kupambana na wadudu hawa waharibifu ikiwa ni pamoja na kushirikiana bega kwa bega na wenzetu wa Kenya
 
Naona kama siasa inaingizwa katika shughuli hii ya kudhibiti nzige. Waziri aliongea kwamba wanapulizia dawa na watakua wamewamaliza nzige wote kwa muda wa siku mbili au tatu tu!

Kwa maoni yangu jambo hili sio jepesi kama inavyoelezwa na wanasiasa. Wenzetu Wakenya wanapambana na makundi ya nzige kwa zaidi ya miezi sita sasa na bado hawajafanikiwa kuwamaliza pamoja na kua wao wana vifaa vya kisasa zaidi kuwasaidia kupambana na mlipuko huo

Ni vizuri Wizara ya Kilimo na Serikali yetu kwa ujumla vifanye juhudi za makusudi kuweka mikakati endelevu ya kupambana na wadudu hawa waharibifu ikiwa ni pamoja na kushirikiana bega kwa bega na wenzetu wa Kenya
Kaka ni kweli, tunapigwa Changa la macho kwenye hili sakata.
Nzige walioanzia Longido, Namanga na kuingia mkoa wa Kilimanjaro bado hawajateketezwa.
Kina Bashe na Mkenda wanadili na lile kundi moja la upande wa Simanjiro.

Hili kubwa sana halitangazwi.
 
Back
Top Bottom