N'zonzi aliomba baadhi ya wachezaji wa Ufaransa ili Kante apige picha na kombe

He is believed to be single and there no any information regarding his past affairs.
 
mbona sifa zote ni za sizonje? Ok sizonje tumbatize jina hili la ngolo kante!
 
Paul Scholes alikuwa na tabia hiyo pia
 
Huo ni upuuzi... msisifie upuuzi!

Being inferior ts quite different from being humble!

Huyo jamaa inferiority complex inamtesa...badala ya kumhurumia nyie mnamsifia!
Pole mkuu umejaa sumu kali mwilini
 
Aiseee huyu jamaa ako chonjo sana
 
nasikia jamaa hana dem.wala historia ya kuwa na dem ina anamfukuzia mtoto wa bilionea wa kifransi mwenye asili ya Afric a anayefanya biashatea za madini
 
Huo ni upuuzi... msisifie upuuzi!

Being inferior ts quite different from being humble!

Huyo jamaa inferiority complex inamtesa...badala ya kumhurumia nyie mnamsifia!

England mnapata Tabu Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…