Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
Wizara ya elimu imesema kwamba inarudisha madarasa ya o-level kwenye shule zilizokuwa na a-level tupu lengo ni kuwapa nafasi watoto wa darasa la saba ambao wanaufaulu wa kati na ambao wamekosa nafasi ya kwenda kwenye shule za vipaji maalumu kupata nafasi katika hizo shule ,hii itaongeza /itatoa nafasi kwa watoto hao kupata muda wa kutosha wa kujisomea