Obama alidanganya kuhusu mauaji ya Bin laden

Obama alidanganya kuhusu mauaji ya Bin laden

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,370
Reaction score
3,962
Imegundulika kua rais obama alidanganya kwa wananchi kuhusu taarifa za kuuliwa kwa Osama,alisema kua Pakistan haikujua lolote kuhusu mission ya marekani kumuua Osama wakati Osama alikua anashikiliwa na serikali ya Pakistani waliokua wanamtumia kama "leverage" yao kwa Taliban na al Qaeda. Pia serikali ya pakistani ilirahisisha kuuliwa kwa osama sababu walikata umeme maeneo aliokua anaishi na maafisa wa Pakistan walimtoa Osama kwa kutaka baada ya kuvutiwa na donge nono la $25m.

Pia Osama hakua na shughuli yeyote aliokua anafanya kipindi hicho,hii ilifanywa ili kuhalalisha mauaji yake na wala hakujibu mashambulio yeyote ila seal team walipewa order ya kumuua.

Zaidi pitia hapa:
Osama Bin Laden was an unarmed elderly 'invalid' when Navy Seals killed him and Barack Obama lied about the mission, report claims - Americas - World - The Independent
 
mmmh,kwa nini umeamini kirahisi kilichoandikwa na hilo gazeti kuliko alichozungumza oboma?
 
Imegundulika kua rais obama alidanganya kwa wananchi kuhusu taarifa za kuuliwa kwa Osama,alisema kua Pakistan haikujua lolote kuhusu mission ya marekani kumuua Osama wakati Osama alikua anashikiliwa na serikali ya Pakistani waliokua wanamtumia kama "leverage" yao kwa Taliban na al Qaeda. Pia serikali ya pakistani ilirahisisha kuuliwa kwa osama sababu walikata umeme maeneo aliokua anaishi na maafisa wa Pakistan walimtoa Osama kwa kutaka baada ya kuvutiwa na donge nono la $25m.

Pia Osama hakua na shughuli yeyote aliokua anafanya kipindi hicho,hii ilifanywa ili kuhalalisha mauaji yake na wala hakujibu mashambulio yeyote ila seal team walipewa order ya kumuua.

Zaidi pitia hapa:
Osama Bin Laden was an unarmed elderly 'invalid' when Navy Seals killed him and Barack Obama lied about the mission, report claims - Americas - World - The Independent

Uongo uongo
 
Osama is alive,he was used as an escape GOAT by the US gvt,angalia documentary inaitwa Zeitgiest
 
Osama is alive,he was used as an escape GOAT by the US gvt,angalia documentary inaitwa Zeitgiest

Usiamini sana documentaries. Zimetengenezwa kwa nia ya kubadili mawazo ya watu kuhusu kitu fulani.
 
Mtoa mada ni mbumbumbu sana,Kama serikali ya pakistani iliisaidia US kumuua Osama kwanini tena ilimkamata Dr aliyeshirikiana na CIA kutoa siri kuhusu hideouts za osama? Kwanini mission ilifanywa na US? Kama pakistani walisaidia hakukuwa na haja ya US kuandaa kikosi mahiri cha makomandoo hatari kama Navy seal,wakitumia chopper ya sound proof,otherwise pakistani wenyewe ndo wangemkamata osama na siyo US kuandaa kikosi,usipende kuamini habari za propaganda kama hizo,US ilijiandaa sana kupata osama,tukio lote linaanzia Guantamano bay,gaidi Al kuwait mfuasi wa osama alipoachiwa akiwa kapandikizwa chip bila yeye kujua ili ku monitor nyendo zake wakijua siku moja angekutana na osama tu,tafuta kitabu cha NO EASY DAY cha komandoo aliyeshiriki na kumuua osama kwa bunduki yake mwenyewe uone mambo yalivyokuwa,achana kabisa na US ni habari nyingine hapa duniani,kuna wajinga wengi wanaamini osama yu hai hajafa,watabaki hivyo hivyo na ujinga wao.
 
Back
Top Bottom