Obama alidanganya kuhusu mauaji ya Bin laden

Wewe umekunywa mkojo wako mwenyewe,ndio maana unapost utumbo
 

Unaongelea propaganda, unajua maana ya propaganda wewe? Manake kichwa chako 100% kimejaa propaganda.
 
Ungesema hata baada ya kuuliwa alitupwa wapi?
Osama alikuwa mtu hatari sana heri tu alikufa.
 
Unaongelea propaganda, unajua maana ya propaganda wewe? Manake kichwa chako 100% kimejaa propaganda.

ukikuta mhaya ni muislamu kama wewe lazima awe stupid tu,jibu kwa hoja na siyo kuropoka,kama unadhani osama yupo nenda unakojua yupo ukamtembelee.
 
mkuu kwahiyo kwa mtazamo wako Osama bado yupo hai?
 
Wangekua wamemuua wao (Americans) wasingemtupa baharini kwa alivyowasumbua wangemdhalilisha kwanza ndio wamuue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…