Obama, Hillary Clinton, pamoja na vyombo vyao vya habari Walikua wanamchukulia Gaddafi alikuwa dikteta

Obama, Hillary Clinton, pamoja na vyombo vyao vya habari Walikua wanamchukulia Gaddafi alikuwa dikteta

Nilijua umekuja na evidence kuwa obama ni alien.

Kumbuka ktk dunia hii only the stronger will survive and the weak will perish. ( survival for fittiness rule).

Kaa kwa kutulia usije na ww ukaliwa kichwa
Ni kweli kabisa mkuu only the strong will survive huo ndo mfumo wa dunia toka iumbwe hata kwa wanyama na wadudu mfumo ndo huu
 
Gadafi huyohuyo ndio alituma wanajeshi wake kumsaidia iddi amini dhidi ya Tanzania, kwasababu tu nduli alikuwa mtu wa dini yake. Gadafi huyohuyo sehemu zote alizokuwa anasaidia nia yake kuu ilikuwa kusambaza dini yake. kwangu mimi hakuwa na faida yeyote hapa duniani.
 
Ulichoandika ni kuwa suruali inavaliwa kiunoni. Matokeo yake umeivaa shingoni. Article ya kijinga sana hii.
 
Gaddafi alikuwa Dictator muovu aliyetumia pesa za mafuta kujinufaisha, kununua marafiki na kujichimbia madarakani.

Madikteta wote huwa wanaharibu kabisa taasisi na mifumo ya nchi kiasi cha kufikia kuwa wao ni dola na dola ni wao. Kwa sababu hiyo, wanapoondolewa madarakani kwa njia yoyote ile huwa wanaacha ombwe kubwa ambalo hujazwa na watu wasiojua chochote kuhusu uongozi na matokeo yake ni machafuko na ghasia kama unazozishuhudia Libya leo. Hicho pia ndicho kilichoipata Somalia ya Siad Bare baada ya utawala wake kuanguka, Nigeri, Congo na sehemu nyingine nyingi hivyo hivyo pia.
 
Mpaka leo Kagame hatujamuona wala kusikia akituma pole zake, nachojaribu kusema kwenye siasa/cheo hamna rafiki wa kweli zaidi ya mliokuwa naye kabla ya cheo.
anakula faida kutoka kwa mwekezaji
 
Tatizo ni rais wa marekani anawekwa pale kutetea maslahi ya Marekani so ni lazima atekeleze Rai hiyo, otherwise wana muhujumu refer Kennedy.
 
Back
Top Bottom