Hawana adabu na wana maksudi, wanaweza kinukisha kwa maksud tu wasikike,...walivyo wa kike!
USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
Wale anti-US wako wapi leo?
Kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nani zaidi ya USA hapa duniani? Nani huyo?
Kim Jong Un?
Teh teh teh
Dunia nzima inaipenda USA
aisee hii ya ndoa ya jinsia moja itaweza kuongelewa mbele ya mugabe?
Alishaenda, ingawa tangu awe Rais hajawahi tena kwenda huko! U-rais ni mzigo, shughuli zingine inabidi ustishe hata kama unapenda!
Hivi Obama anaipenda Kenya kama wakenya wanavyompenda???
wakuu MOTOCHINI sam999 Iconoclastes MK254 FaizaFoxy Geza Ulole Kimweri Asprin bagamoyo Hoodla NairobiWalker mimi leo natoa yangu ya moyoni kuhusu ujio wa obama, Obama himself anaonekana anakuja kenya underinfluence ya makelele na vilio vya wakenya eti obama amewasaliti wakenya kwa kuanza kuja tanzania na wala sio kenya,hii kitu imewauma sana wakenya, wakenya wamempigia sana magoti obama ili aje kenya awaondolee aibu ,obama akarudisha moyo nyuma lakini akawapa masharti, kwanza hatokuja na familia yake pili lazima akija apitishe ushoga.wakenya wakakubali.na pia kuna tetesi obama amepanga kwenda bongo tena kabla hajastaafu urais
USA baby
The greatest country ever.
Haya nani sasa anabisha kwamba USA siyo kiboko yao?
Nani anabisha kwamba USA ni taifa kubwa?
A visit by POTUS is a huge fucking deal.
Hivi dogo Uhuru naye atadandia lift ya The Beast kutoka uwanja wa ndege?
Heheheeeeee.......nani mwingine hapa duniani husafiri na gari lake popote aendapo duniani?
Ni nani huyo? Putin? Kim Jong Un?
Hahahaaaaaaaa USA baby.
Vietnam won a six year war with usa and 130k American soldiers died in Vietnam sioni kama ni big deal
Russia has 3000 more nuclear war heads than USA
Russia is 4 times larger than USA
The queen, Nelson Mandela smh ume brainwashiwa na movies ww