Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Hawana adabu na wana maksudi, wanaweza kinukisha kwa maksud tu wasikike,...walivyo wa kike!

Wajinga sana.
Natumai wakenya wameweka kuweka ulinzi wa uhakika.
Nawatakia mapumziko mema.
 
Reactions: kui
USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:

Wale anti-US wako wapi leo?

Kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Nani zaidi ya USA hapa duniani? Nani huyo?

Kim Jong Un?

Teh teh teh

Kuipenda na kuishabikia USA ni moja kati ya vitu rahisi kuliko vyote Dunia Hii! Ni jambo la kawaida sana kuipenda USA ndio maana ukisimama mbele za watu na kufanya ulivyofanya watu watakuona wa ajabu kwa maana hakuna jipya unaloleta, Dunia nzima inaipenda USA ni sawa sawa tu na mtu anayeipenda na kuisifia Barcelona (mpira) au kwenye kombe la Dunia mtu anayeshabikia Brazili (enzi hizo) ni kitu rahisi kufanya ndiyo maana sioni hata mantiki ya maandishi yako!
 
Dunia nzima inaipenda USA

Katika yote uliyoandika hayo tu ndiyo yenye maana na ukweli.

Mengine yote yalikuwa pumba.

Tatizo ni watu kujifanya wanaichukia USA kumbe kimoyomoyo wanaipenda na kuikubali.

USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:

The greatest country in the history of existence.
 
Per Citizen TV,

The US Secret Service has taken over the State House's security.

Hahahahahaaaa.......ahahahaaaaaaaa.....USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
 
Hivi Obama anaipenda Kenya kama wakenya wanavyompenda???
 
Tukitaka tusitake ...hawa wasomali shababu wakali.....yoooooote hayo wanaogopwa jamaaa
 
Ni aibu sana,,,yani ikulu ya Kenya ipo chini ya Wamarekani kama ilivyokuwa Tanzania kipindi kile!!
 

Mkuu wakipitisha ushoga... nchagulie kidume kizuri cha Nairobi nije nikioe kwa ndoa ya mkataba...
 
USA baby

The greatest country ever.

Haya nani sasa anabisha kwamba USA siyo kiboko yao?

Nani anabisha kwamba USA ni taifa kubwa?

A visit by POTUS is a huge fucking deal.

Vietnam won a six year war with usa and 130k American soldiers died in Vietnam sioni kama ni big deal

Russia has 3000 more nuclear war heads than USA
Russia is 4 times larger than USA
 
Hivi dogo Uhuru naye atadandia lift ya The Beast kutoka uwanja wa ndege?

Heheheeeeee.......nani mwingine hapa duniani husafiri na gari lake popote aendapo duniani?

Ni nani huyo? Putin? Kim Jong Un?

Hahahaaaaaaaa USA baby.

The queen, Nelson Mandela smh ume brainwashiwa na movies ww
 
Vietnam won a six year war with usa and 130k American soldiers died in Vietnam sioni kama ni big deal

First of all, America did not lose the Vietnam war militarily. Let's get that clear.

Second of all, where did you get that 130K figure of American GIs who died? Can you provide me a reliable and reputable source from whence you got it?

Russia has 3000 more nuclear war heads than USA

I don't believe that one bit.

The Russians are notoriously corrupt and I wouldn't put it past them inflating their figures.

Russia is 4 times larger than USA

Larger in terms of what? Land mass?
 
The queen, Nelson Mandela smh ume brainwashiwa na movies ww

Oh puhliiiiiz...who wants to kill that old lady? Who?

And Mandela? Get outta here man.

The only other person who comes close is maybe Benjamin Netanyahu [or any other Israeli PM for that matter].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…