MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Wapate mara ya ngapiHahaha jamaa watapata pressure!
Jiwe ataumia sana...amejaribu kuididimiza mikoa ya Kaskazini lakini wapii....Hahaha jamaa watapata pressure!
Obama amewaomba viongozi aliokutana nao uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro alipokuwa akitoka Serengeti kuwa wamfikishie salamu zake kwa rais kuwa anahitaji eneo Moshi ili ajenge nyumba ya mapumziko.
Sababu Kubwa ya kutaka kuwa na nyumba Tanzania Obama amedai Tanzania ni nchi ambayo atakuja na ataendelea kuja kila anapopata muda.
View attachment 809895 View attachment 809890 View attachment 809890 View attachment 809891 View attachment 809893 View attachment 809894 View attachment 809895 View attachment 809896 View attachment 809896 View attachment 809895 View attachment 809894 View attachment 809893
Obama amewaomba viongozi aliokutana nao uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro alipokuwa akitoka Serengeti kuwa wamfikishie salamu zake kwa rais kuwa anahitaji eneo Moshi ili ajenge nyumba ya mapumziko.
Sababu Kubwa ya kutaka kuwa na nyumba Tanzania Obama amedai Tanzania ni nchi ambayo atakuja na ataendelea kuja kila anapopata muda.
View attachment 809895 View attachment 809890 View attachment 809890 View attachment 809891 View attachment 809893 View attachment 809894 View attachment 809895 View attachment 809896 View attachment 809896 View attachment 809895 View attachment 809894 View attachment 809893
Man please. Acha wivu wa kijinga. Uwanja wa ndege wa KIA uko moshi tena mkubw akuliko uo wa chato isitoshe ndio lango la utalii wageni hupitia.Mwambie tutampa eneo Chato ajenge hiyo vacation home yake,na siyo huko Moshi...Chato n jiji na kuna uwanja wa ndege mkubwa na wa kisasa kabisa.maandhari ndo haswaaaa
Acha ukabila manObama naye anakuwa kama hajui kuwa Chato ndiyo habari ya mjini kwa sasa? Huko Moshi Wachagga watamuambikiza siasa za upinzani bure