MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Obama amewaomba viongozi aliokutana nao uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro alipokuwa akitoka Serengeti kuwa wamfikishie salamu zake kwa rais kuwa anahitaji eneo Moshi ili ajenge nyumba ya mapumziko.
Sababu Kubwa ya kutaka kuwa na nyumba Tanzania Obama amedai Tanzania ni nchi ambayo atakuja na ataendelea kuja kila anapopata muda.
Sababu Kubwa ya kutaka kuwa na nyumba Tanzania Obama amedai Tanzania ni nchi ambayo atakuja na ataendelea kuja kila anapopata muda.