Obama: Mwambieni Magufuli nataka eneo Moshi nijenge vacation home

Obama: Mwambieni Magufuli nataka eneo Moshi nijenge vacation home

Acha kuwa na "inferiority complex" wewe. Iwe ni Kaskazini au Kusini yote ni Tanzania moja.
Sasa hapo kuna knferiority complex gani..,?? Sijaongelea kusini, wewe umetolea wapi..,?? Kati yangu mimi na wewe nani ana-inferiority complex..


FYI, Mikoa ya Kaskazini itaendelea ku-run hii nchi
 
hawa ndio watu muhimu wa kuwa nao karibu,utakuta jiwe hatakutana naye hadi anaondoka.
 
Kujitutumua wakati hujaulizwa hiyo ni "inferiority complex" kama ulikuwa hujui. Mtu anayejiamini hana haja ya kujitutumua. Acha wengine waseme.
Wakina nani hao waseme..??! Na kwanini nisubiri hao "wengine" waseme...?? Kwanini isiwe mimi ' niseme'..???


Pathetic fool
 
Nimekuambia kumuulize Mrema alifanya nini kwa baadhi ya Wanyarwanda akiwa waziri wa mambo ya ndani,naishia hapa
Wanaweza kupindua vizuri hutaki tunaacha mkuu

Ridiculous retort, mimi Mrema mjombaangu mpaka nimpate nimuulize? Wewe ndio thibitisha kwamba Mremba alitoa title deeds kwa foreigners.

Lukuvi atatapishwa maneno yake na nyongo juu akithubutu kutoa title deed kwa foreign subject.
 
Ridiculous retort, mimi Mrema mjombaangu mpaka nimpate nimuulize? Wewe ndio thibitisha kwamba Mremba alitoa title deeds kwa foreigners.

Lukuvi atatapishwa maneno yake na nyongo juu akithubutu kutoa title deed kwa foreign subject.
Kumbe eeh ? Sawa sawa. Kufuatilia kitu ni mpaka mtu awe mjomba wako ? Uvivu huu wa Watanzania unatia kinyaa .

Yaani unataka ufanyiwe kila kitu

Anyway kama hutaki acha sio lazima
 
Man please. Acha wivu wa kijinga. Uwanja wa ndege wa KIA uko moshi tena mkubw akuliko uo wa chato isitoshe ndio lango la utalii wageni hupitia.

Kuna mlima kilimanjaro.

Huko chato zinaingia ndege ngapi kwa siku? Kuna kivutio gani cja maana?
Tutampa Chato. Acha ujuaji
 
Moshi na Arusha ni Ulaya ya Tanzania..


Arusha wazungu wamejaa kila kona....ma-estate ya kufa mtu wanamiliki....Dolly Estate, Momela Ranch Estate, Mawala Estate, Gomba Estate, Peponi Estate, Arusha West Lands Estates
Gomba estate siku hizi ni makazi ya watu, ilishapimwa na kugawanywa kuwa makazi ya watu mkuu
 
Anayeweweseka humjui? Mwambieni ampe kiwanja Obama huko Ruaha Iringa.

Tatizo mnapoibaguwa kaskazini mnasahau aliyekuzidi kakuzidi tu, kubali kujifunza toka kwao.
Hata jiografia ya nchi yako huifahamu. Kaskazini ni wapi?
 
Back
Top Bottom