MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Punguza sauti.Umemlisha maneno...
Nasikia sauti ya Mwanaume anayeogopa majukumu ikilia kwa mbali...
Ukimtumia ubama kama role model wako utakuwa unakosea,watumie wazazi wako kama role model wako kawaulize je kuna siku ambayo mama yako hajawahi kumuomba mzee hela ya kiberiti?
Kama umemsoma kwenye mistari utagundua anataka mke wake asikae hata simu moja akamuomba hela ya mahitaji ya nyumbani ndiyo maana nikamwambia afuate maisha yetu ya Kiafrika akamuulize baba yake kama mama yake amewahi kuacha kutaka huduma za familia kutoka kwake.Sio mbaya akimtumia kama role model ila ahakikishe anafanya hivyo kwenye maeneo yote. Hauwezi kuchagua eneo Moja ukaacha lingine.
hahaha fala sana wwUmemlisha maneno...
Nasikia sauti ya Mwanaume anayeogopa majukumu ikilia kwa mbali...
Kama umemsoma kwenye mistari utagundua anataka mke wake asikae hata simu moja akamuomba hela ya mahitaji ya nyumbani ndiyo maana nikamwambia afuate maisha yetu ya Kiafrika akamuulize baba yake kama mama yake amewahi kuacha kutaka huduma za familia kutoka kwake.
Tuna ombwe kubwa sana sasa hivi la vijana kukataa kuhudumia familia wakitaka wasaidiwe na wake zao.
Mke wa Obama sio wamchezo mchezo ni Prof same kichwa cha Harvard... Pambana na hali yakoJana Obama na Michelle wametimiza miaka 30 ya kuwa pamoja. Pamoja na kutimiza umri huo hamna hata siku moja ambayo Michelle alimuomba Obama hela akanunue gesi achilia mbali luku, vocha, hela ya kusuka nk.
View attachment 2771262
Usikute single parent family.Ukimtumia ubama kama role model wako utakuwa unakosea,watumie wazazi wako kama role model wako kawaulize je kuna siku ambayo mama yako hajawahi kumuomba mzee hela ya kiberiti?
Wewe ni Obama?Jana Obama na Michelle wametimiza miaka 30 ya kuwa pamoja. Pamoja na kutimiza umri huo hamna hata siku moja ambayo Michelle alimuomba Obama hela akanunue gesi achilia mbali luku, vocha, hela ya kusuka nk.
View attachment 2771262
Jana Obama na Michelle wametimiza miaka 30 ya kuwa pamoja. Pamoja na kutimiza umri huo hamna hata siku moja ambayo Michelle alimuomba Obama hela akanunue gesi achilia mbali luku, vocha, hela ya kusuka nk.
View attachment 2771262