Obama na wafanyabiashara na wajasiriamali

Obama na wafanyabiashara na wajasiriamali

Bigboot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
310
Reaction score
77
Kwema wakuu, samahani aisee, nilitaka kujua ni kwa nini Obama moja ya vitu vilivyomleta Kenya ni kuzungumza na wafanyabiashara, wawekezaji na wajasiriamali? Nadhani hata hapa kwetu Tanzania alifanya hivyo, kwa nini hili kundi na isiwe makundi mengine?
 
ukitaka upate maziwa ya kutosha kw ng'ombe wako basi mchunge machungani ashibe nazani umenielewa
 
Somehow japo sio sana, BICHWA kama yangu ngumu kuelewa
 
Back
Top Bottom